Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

Ungewapa na category zao kama ni ndumba na ngae au free manson etc
 
8. Steve Nyerere!
 
Hapo kuna kama watatu hivi ambao habari zao nilizipata tena kule kwenye asili yao Mwisho wa R.L. mpaka nikashindwa kuamini.Halafu wengi wao huwa wana nyodo sana
 
Wewe kiboko unabishana mpaka na Bible.. Uchawi upo .. . Hao waliofanikiwa Sana wanaenda kwa waganga .. . Ila ndio wakwanza kupinga
Bible ina uongo mwingi tu, kila kitu A to Z ni fix tu, vitabu vya dini vyote havisemi ukweli.
We nenda kwa mganga utajirike tuone, mganga anatajirisha watu alafu yeye anakufa na njaa? huu upuuzi kama hamjawahi shuhudia wenyewe kwa macho yenu msikae mnautetea kwa kua mlisikia kwa flani, unauhakika gani aliyesema hadanganyi?
Hakuna kitu kama uchawi wala mungu, vyote story za kutunga tu kama Avengers.
 
Hahaaa!mjini hapa...bibi huyo yuko bondeni huku kabla hujafika kwa mama Zakaria!

Hamisa alivyopigwa juju na mama ake diamond kipindi kile amtie uchizi alienda kuponea Tangaa kwa mzee mmoja hivi!
(Msiniulize nimejuaje)

Wewe , mama domo alimpiga ndumba hamisa ?🤣🤣🤣, huyo mganga wa tanga namjua vzur binamu, looh mji mzito huu 🤣🤣
 
Heee!hujui binamu?kwani kipindi kile ilikuaje mpk wakasema malaria sijui Kali ?bibi ilikja juju lileee....tena la uchizii haswaa!!wakamwahi huyo babu wa tanga...!!!

Yule mama hakuna mwanamke wa Dai anaondoka kwa kutaka...unapigwa matukio ya ndumba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji16]
Wewe , mama domo alimpiga ndumba hamisa ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787], huyo mganga wa tanga namjua vzur binamu, looh mji mzito huu [emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna msanii asiyeroga, mtu yeyte asiye upande wa Mungu lazima awe upande wa pili, hakuna neutral, tena kusimama mbele ya nyomi la watu bila supernatural power yyte lazima upige tetema, mnaojidanganya et vipaji endeleeni kujidanganya
 
Wewe utakuwa ni mwajiriwa, changamoto ndogo ni hii, mwajiri wako ndo anajua ukweli wa mambo, unaneemeka kupitia mgongo wake..
sawasawa na walioajiriwa na serikali hawajui boss wao anapishana kwa waganga na freemason yumo ili mambo yaende sawa ila wao hawajui hyo hustling,....haya mambo ni zaid ya kipaji...
 
Mimi je mbona ujanitaja...[emoji847][emoji847][emoji1787]
 
Freemasons au kwenda kwa waganga?

Hebu liweke vzr hapo!

Nkuambie kitu hakuna msanii asiyeroga Tanzania hii...kuanzia Hip hop mpk kingwendu!!

Sisemi mengi ngoja ninyamaze ila mwaka Jana niliyajua mengi jamani siaminiii!!!kabisaa

Hebu tupe stor kidogo hiyo tupate vitamin[emoji12]
 

Sasa jaman c aolewe yeye, nilisikia kipindi hamisa anaumwa wakasema malaria imempanda kichwan kumbe mama mtu kashafanya yake , Ila watu wa kigoma balaa wale, ile familia kwa uchawi mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…