Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

Huyo bibi nasikia ni kiboko kwenye dawa za mapenzi na chango la uzazi.
Kwenye chango la uzazi kweli kuna mdogo alikua hapati mtoto mda sana baadae alipatia kwa yule bibi,hata kujifungua alipitiliza lakini alivyoenda pale kapewa dawa jioni anapelekwa mwananyamala kujifungua!!!

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wengine ndo tulikua tunashinda huko unapigwa chale hadi za matako unashangaa ukitembea wowooo linatikisika tu
Hahahaaaa!!!! [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]mjini hapa daah!Mimi nilipigiwa simu mdg wetu huyo aliyepata mtoto sasa,alimpeleka mwanawe alikua anaumwa vihoma vya kitoto hivi,sasa nafika nashangaa balaa...naambiwa kuna msanii katoka hapa sasa hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....!!!
 
Ahahah mwenznagu , nimeshavurugwa, binamu umepotea sana aiseh , jukwaa bila wanazengo nyie halinogi, tumetoka mbali
Nipo binamu sijui uzee nao unapiga hodi hadi najifanya busy....we utabaki mawinguni binamu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wengine ndo tulikua tunashinda huko unapigwa chale hadi za matako unashangaa ukitembea wowooo linatikisika tu

Jaman binamu unanivunja mbavu , chale za matako Tena ?🤣🤣🤣🤣🤣, shoga angu ushirikina umekukaa kwenye damu , yan umejua kunivunja mbavu aiseeh
 

Halafu na waganga mwenzangu hawanaga siri , wakienda wasanii wakubwa lazima watangaze kwa watu

Nasikia uwoya ilikua ndo zake tanga , alikua anamuomba pesa dogo janja halafu hizo hizo anaenda kumroga nazo tanga 🤣🤣🤣

Yan uwoya kwa ushirikina kila siku anachinja mbuzi tu huko tanga , bora abadilishe tu waganga , anajichoresha tu huko tanga
 
Hakuna msanii asiye mshirikina kizazi hiki. Wote wachawi
 
Mmmh hatari
 
warumi hawa wanaokupigia kelele sio kwamba hawakuamini tatizo umeleta habari ya watu wanaowapenda na kuwasujudu ndo maana wanakupigia kelele....ila hawa hawa wanakupongezaga ukileta ubuyu wa watu wasiowasujudu
 
Unamfahamu warumi ?
 

Ni kweli watu kibao amewasaidia.
 
Jaman binamu unanivunja mbavu , chale za matako Tena ?🤣🤣🤣🤣🤣, shoga angu ushirikina umekukaa kwenye damu , yan umejua kunivunja mbavu aiseeh

Tunahangaika na mengi ndugu yangu ww acha tu lkn kuna kitu kilinitokea kwenye maisha yangu siamini tena awe mganga wa jadi au anatibu kwa kitabu simuamini. Kwasasa nimeokoka naamini sana kwenye kuomba, kufunga na kusali kwa Imani sifa na utukufu zirudi kwa Bwana.
 
[emoji6][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bongo movies washirikna balaa...!!yaani wanarogana wanajifanya kusomewa kumbe hawana lolote...!!! Sasa dogo janja alikua anarogwa ili iweje?

Hawa wadada na wakaka zao wote...!!! Lao moja wanajifanya maustadhi kumbe hawana lolote
 
Ameen ameen barikiwa sanaa
 
Umemsahau DIDA mwanwmke anapenda ULONZI kuliko kula alikuwa na mganga wake anaitwa SH 60 ukienda malipo kwake ni sh 60 kwa sasa anaroga sana Morogoro ndo maana kila weekend hakauki
 

Ndio hivyo , watu wanahangaika kutafuta tiba ya mambo yao , ilamradi tu hawadhuru watu wengine

Nimefurah kuwa umeokoka binamu na kuamua kurudi kwa muumba, mie shoga angu Ndo nataka kuanza ushirikina nikachanjwe hizo chale za matakoni🤣🤣
 
8)Esma

9)Snura

10)Shilole.

11)Batuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…