Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina


Na Mimi nikashangaa jaman , dogo janja ? Kwa pesa zip? Ila nimekuja kugundua binamu irene uwoya uwa Ana fetish ya kupenda dogo dogo , na janja alimpenda sana ndio maana akawa anamroga ili asiende kwa wengine 🤣
 
Mmelogana kimya kimya. Sasa mnaanza kutajana mitandaoni.
Kinachofuata ni kuwataja waganga wenu kisha mje madhabauni kufanyiwa maombi.
 
Na Mimi nikashangaa jaman , dogo janja ? Kwa pesa zip? Ila nimekuja kugundua binamu irene uwoya uwa Ana fetish ya kupenda dogo dogo , na janja alimpenda sana ndio maana akawa anamroga ili asiende kwa wengine [emoji1787]
Huwa wanatest kwanza hizi dawa kwa mwanaume wa kawaida, zikitiki anaenda kwa mwanaume mwenye pesa, yule aliechwa anakuwaga kama kachanganyikiwa flani hivi kwa muda badae anakaa sawa... Nishaiona hii rafiki yangu alikuwa kicheche shababi sana ila ana vijisenti tu, huyo dada alimtuliza akawa kama zezeta madem hatongozi tena, badae huyo dada akapata bosi nae akatulizwa hivyo hivyo paka akaolewa, huyo rafiki yngu alivyoachwa hata viatu alikuwa havai.. [emoji23]
 
8. Rais Magufuli
10. Bashite
11. Musukuma Joseph
12. Lusinde
13. Kalamaganda Kabugi
 
Mchambe basi tuone anavyotembea uchi barabarani[emoji23]
 
Kwako mleta uzi..."Karma is a Bitch" ipo siku self guilty conciousness itakutesa sana!
 
Duh..!
Mie nimeishia tu pale ulipowaita watu mbwa yaani bahati nzuri mie ni mbwa dume ila sasa nawaza hao wasomaji wengine sijui ni mijibwa koko au ile mijibwa inayokulaga kila kitu mpaka mavi ya walevi.!
 
People who like to talk about others have nothing to present about themselves.
 
Mmelogana kimya kimya. Sasa mnaanza kutajana mitandaoni.
Kinachofuata ni kuwataja waganga wenu kisha mje madhabauni kufanyiwa maombi.
Wakija madhabahuni wanakumbana na kitu Gwajima 😂
 
Freemasons au kwenda kwa waganga?

Hebu liweke vzr hapo!

Nkuambie kitu hakuna msanii asiyeroga Tanzania hii...kuanzia Hip hop mpk kingwendu!!

Sisemi mengi ngoja ninyamaze ila mwaka Jana niliyajua mengi jamani siaminiii!!!kabisaa
Si kweli
 
Huyo mbibi amespecialize kwenye nini hasa? Ni mapenzi na uzazi tu basi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…