Wafahamu Wagombea wa Uenyekiti Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Kikwete imekuaje tena? Ameliwa kichwa?

Wafahamu Wagombea wa Uenyekiti Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Kikwete imekuaje tena? Ameliwa kichwa?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu salama?

Kulikuwa tetesi toka pande mbalimbali kuwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete atagombea nafasi hii ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Ummoja wa Afrika Mashariki, na kulikuwa na kama ka msuguano hivi baina ya wanaomuunga mkono Jakaya na wale waliokuwa wanamuunga mkono Raila Odinga.

Pia soma: Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea uenyekiti wa kamisheni ya AU?

Majina wa wagombea wametoka na Kikwete hayupo, ni kwamba ameliwa kichwa au alikuwa hana mpango kabisa wa kugombea?

Wagombea Uenyekiti Umoja wa Afrika.jpg

Wanaogombea nafasi hiyo ni;
Raila Odika - Waziri Mkuu Mstaafu Kenya
Anil Kumarsingh Gayan - Waziri mstaafu wa Mambo ya Nje - Mauritian
Mahmoud Ali Youssou - Waziri wa Mambo ya Nje - Djibouti
Richard James Randriamandrato - Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje - Madagascar
 
Wakuu salama?

Kulikuwa tetesi toka pande mbalimbali kuwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete atagombea nafasi hii ya Uenyekiti wa Tume ya Ummoja wa Afrika Mashariki, na kulikuwa na kama ka msuguano hivi baina ya wanaomuunga mkono Jakaya na wale waliokuwa wanamuunga mkono Raila Odinga.

Majina wa wagombea wametoka na Kikwete hayupo, ni kwamba ameliwa kichwa au alikuwa hana mpango kabisa wa kugombea?


Wanaogombea nafasi hiyo ni;
Raila Odika - Waziri Mkuu Mstaafu Kenya
Anil Kumarsingh Gayan - Waziri mstaafu wa Mambo ya Nje - Mauritian
Mahmoud Ali Youssou - Waziri wa Mambo ya Nje - Djibouti
Richard James Randriamandrato - Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje - Madagascar
acheni kumsingizia kikwete,hakuwa na nia ya kugombea kabisa
 
Kikwete ni mkubwa sana kwa hao underdog,
Mtu aliwahi kuwa president wa nchi kubwa kama Tanzania akashindane na hao ma X minister
Hana alichobakiza at his age 74 ni muda wa kucheza na wajukuu,
Odinga ni mroho wa madaraka japo kaandikiwa fungu la kukosa
 
Hawa wahindi hawapati kitu! Na Huyo mmanga koko!

Odinga anachukua kiti ili tulete amani ktk jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa kenya iweze kupata utulivu wa kisiasa na Ruto aendelee na muhula mwingine bila tatizo

Siasa ni sayansi...

Kutokuwepo Kikwete ni mkakati wa Odinga kuchukua kiti, maana isingekuwa jambo jepesi kushindana na mtu mwenye ushawishi kukuzidi na mmbobezi kwenye siasa za ndani na Masuala ya kimataifa

Wasifu wake ni mzito mno, kwanza ni Mwenyekti wa maswala ya elimu Duniani kama sijakosea
 
Wakuu salama?

Kulikuwa tetesi toka pande mbalimbali kuwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete atagombea nafasi hii ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Ummoja wa Afrika Mashariki, na kulikuwa na kama ka msuguano hivi baina ya wanaomuunga mkono Jakaya na wale waliokuwa wanamuunga mkono Raila Odinga.

Pia soma: Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea uenyekiti wa kamisheni ya AU?

Majina wa wagombea wametoka na Kikwete hayupo, ni kwamba ameliwa kichwa au alikuwa hana mpango kabisa wa kugombea?


Wanaogombea nafasi hiyo ni;
Raila Odika - Waziri Mkuu Mstaafu Kenya
Anil Kumarsingh Gayan - Waziri mstaafu wa Mambo ya Nje - Mauritian
Mahmoud Ali Youssou - Waziri wa Mambo ya Nje - Djibouti
Richard James Randriamandrato - Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje - Madagascar
AU Ina faida gani au impacts gani kwa maisha ya Waafrika???
It's just a meeting club for African brutal dictators.
 
Kikwete ni mkubwa sana kwa hao underdog,
Mtu aliwahi kuwa president wa nchi kubwa kama Tanzania akashindane na hao ma X minister
Hana alichobakiza at his age 74 ni muda wa kucheza na wajukuu,
Odinga ni mroho wa madaraka japo kaandikiwa fungu la kukosa
Odinga ndio anapigiwa kampeni na nchi nyingi na hata hapa kwetu walishakuja kumpigia kampeni
 
Kikwete ni mkubwa sana kwa hao underdog,
Mtu aliwahi kuwa president wa nchi kubwa kama Tanzania akashindane na hao ma X minister
Hana alichobakiza at his age 74 ni muda wa kucheza na wajukuu,
Odinga ni mroho wa madaraka japo kaandikiwa fungu la kukosa
Wabongo wana tabia moja common sana, wanapokosa jambo ni lawama
Tz si nchi kubwa as you stated, and if angekuwa the best angekuwa hapo

Tatizo ni the best in tanzania si nje ya tanzania
 
Hawa wahindi hawapati kitu! Na Huyo mmanga koko!

Odinga anachukua kiti ili tulete amani ktk jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa kenya iweze kupata utulivu wa kisiasa na Ruto aendelee na muhula mwingine bila tatizo

Siasa ni sayansi...

Kutokuwepo Kikwete ni mkakati wa Odinga kuchukua kiti, maana isingekuwa jambo jepesi kushindana na mtu mwenye ushawishi kukuzidi na mmbobezi kwenye siasa za ndani na Masuala ya kimataifa

Wasifu wake ni mzito mno, kwanza ni Mwenyekti wa maswala ya elimu Duniani kama sijakosea
Kuna watu kikwete wanamchukulia poa ila angeingia humo hao wote angewagaragaza
 
Wabongo wana tabia moja common sana, wanapokosa jambo ni lawama
Tz si nchi kubwa as you stated, and if angekuwa the best angekuwa hapo

Tatizo ni the best in tanzania si nje ya tanzania
Usimchukulie poa kikwete kimataifa,yule ni mwanadiplomasia nguli sana hakuna wa kumlinganisha na hao underdog
 
Afrika nzima kwa sasa hakuna mwanasiasa mwenye ushawishi kama kikwete full stop yule ni diplomatic genius.
 
Usimchukulie poa kikwete kimataifa,yule ni mwanadiplomasia nguli sana hakuna wa kumlinganisha na hao underdog
Si kwamba namchukulia poa, but afrikanina ina wana diplomasia wengi mno, tena wazuri. As i said anaweza kuwa mzuri lakin hayuko peke yake, maybe kuna the bedt kumzidi
 
Hawa wahindi hawapati kitu! Na Huyo mmanga koko!

Odinga anachukua kiti ili tulete amani ktk jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa kenya iweze kupata utulivu wa kisiasa na Ruto aendelee na muhula mwingine bila tatizo

Siasa ni sayansi...

Kutokuwepo Kikwete ni mkakati wa Odinga kuchukua kiti, maana isingekuwa jambo jepesi kushindana na mtu mwenye ushawishi kukuzidi na mmbobezi kwenye siasa za ndani na Masuala ya kimataifa

Wasifu wake ni mzito mno, kwanza ni Mwenyekti wa maswala ya elimu Duniani kama sijakosea
Pole sana...fuatilia kwa makini usiandike kwa hisia mithili ya Simba changa.... Djibouti inachukua kiti.
 
Kikwete ni mkubwa sana kwa hao underdog,
Mtu aliwahi kuwa president wa nchi kubwa kama Tanzania akashindane na hao ma X minister
Hana alichobakiza at his age 74 ni muda wa kucheza na wajukuu,
Odinga ni mroho wa madaraka japo kaandikiwa fungu la kukosa
Kikwete alikua miongoni mwa wagombea akaombwa kistaarabu ajitoe. AUC chairmanship hadhi yake ni sawa na Rais wa nchi. Ndio maana moja ya sifa za ugombea ni uwe umewahi kushika nafasi ya juu sana serikalini kama uwaziri....Uwaziri mkuu.... jmakamu na urais..... Soma CV ya Mousa Fakhi alikua nani before awe AUC chair.

Jisomeeni mpate maarifa.
 
Back
Top Bottom