Wafahamu Wasaidizi Maalumu wa Kamarada Humphrey Polepole

Ulitakiwa uwataje kwa majina na mawasiliano yao, ili kuwapenyezea habari nao wampe polepole polepole nae ampe bashiru na baadae bashiru ampe jpm.

Lkn kutuletea picha peke yake nikama umekuja kuweka sura zao bila maana yyte, sisi ccm bwana tunazuka na mambo yasiyokuwa na tija yyte.
 
Safi sana huku ni katibu mwenezi kule ni mbunge

Ova
 
Upuuzi mtupu huu,haituhusu maana hana faida kwa taifa
Ukweli usemwe, huyu alikuwa kiboko ya Tototundu kipindi cha kampeni. Alifanya kazi iliyotukuka! Anastahili kuwa SG baada ya Kakurwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…