Wafahamu watu 20 Matajiri zaidi katika Soko la Hisa la Dar es Salaam

Hiyo list ni wachaga vs kanjibai,
 
Tuseme umenunua hisa za million moja ná wakati huo kila hisa 1 ilikuwa ná thamani ya $100 hivyo umenunnua hisa 10,000. Baada ya mwaka thamani ya hisa inapanda na kufikia $250. Hivyo faida yako hapo ni $150 kwa kila hisa ukiamua kuuza hisa hizo zote maana utapata $2.5 million ukitoa gharama zako faida yako ni $1.5 million.
Mgerasi naomba unisaidie naonaga huko deep na exposure. Tuseme ununue hisa ya dollars million moja faida yake unaipataje?

Kinyungu BAK Extrovert na RRONDO
 
Mkuu Shukrani
 
Ukabila hautakufikisha popote sisi kama Watanzania tunajivunia mabilionea wetu kwa kuwekeza na kawapa ajira Watanzania bila kujali ukanda waliotokea
Hisa zinatengeneza ajira Gani?
 
Wachaga wana roho za paka MWENDAZAKE aliwapiga vita, akawafata hadi Kimara akavunja nyumba zao ila bado wanapumua.

Wahehe tunakwama wapi?
Wahehe tupo vizuri sana sema hatujitangazi kama wachagga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…