Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Ckwa chegeni na kamani wamefanya la maana sana ccm, japo walimsahau yule wa magu.Mkuu sijamuona Raphael Cheggeni mbunge wa jimbo la busega -simiyu,huyu bwana nimeishukuru sana CCM màana alikuwa akiendekeza siasa za makundi
Hakuna Mbunge wa ccm mwenye mawazo mapya wote ni ya le yale ya siku zote kupiga mezaWapinzani mnapenda sana kupiga ramli. Haiwezekani bunge jipya lisheheni wabunge wote wa zamani lazima kila bunge jipya liwe na wabunge wapya walau nusu ili kupata mawazo mapya na bora zaidi.
Kama ulimsikiliza Polepole ameelezea vizuri kwa nini hao wamepitishwa kugombea.
Hiyo timu ya CCM iliyotangazwa ni timu ya ushindi na inaenda kuwagaragaza wapinzani vibaya kuliko hata mwaka 2015.
🤣🤣🤣Ulifanya vizuri wew una nn? Cha kujivunia? Unakaa kwa shemeji yako, Gari huna, nyumba huna, mke huna, watoto huna, mifugo huna, mashamba huna hata kakiwanja tuu huna ,nunuwa hata kule chanika mwisho...comment yako ya "akili hazina akili" ni ya mtu ambae hakufanya vizuri darasani
Angekuwa baba /mama ungechoka kumsikia Acha roho mbaya usifurahie kushindwa kwa mtuAcha waliwe vichwa wengine tumechoka kuwasikia toka tuko wadogo mpaka leo mf. Chenge, Nagu, mkono, n.k.....
Aiisee huyu jamaa alitusumbuwa sana hapa mjini Bora apotelee mazima 😎😎😎😎 nazani hatupimwi tena tezi dume nyumba kwa nyumbaYuko karudi kwao kolomije
Pole, tunataka sura mpya na mawazo mapya.Angekuwa baba /mama ungechoka kumsikia Acha roho mbaya usifurahie kushindwa kwa mtu
Mawazi mapya hayapatikani ndani ya Sera zile zile kila mwakaa zisiofatwa na kutekelezwa na mtu tofauti wa chama hicho hicho yani sawa na Kubadilisha Dereva wa Gari Bovu ukitegemea litakuwa zima kisa umebadili derevaPole, tunataka sura mpya na mawazo mapya.
Mbona alishasemaga mapema tu mafisadi wote wajiandaee 2020 hawarudii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wale wa Escrow sijui EPA wote chinjwaa hukoo.Ila Jiwe ni jasiri jamani, kamchinja Cjenge?
Katika ushindani gari iwe bovu au imara dereva yule yule miaka nenda rudi anachosha.Mawazi mapya hayapatikani ndani ya Sera zile zile kila mwakaa zisiofatwa na kutekelezwa na mtu tofauti wa chama hicho hicho yani sawa na Kubadilisha Dereva wa Gari Bovu ukitegemea litakuwa zima kisa umebadili dereva
Shoza yupo sehemu gani.......?.......nitammiss sana Kangi........na Kitwanga.........
Nkamia na kupiga tarumbeta Mzee ale zaidi ya 5, yeye ndio kaishia kula mitano.
Acha waliwe vichwa wengine tumechoka kuwasikia toka tuko wadogo mpaka leo mf. Chenge, Nagu, mkono, n.k.....
Nini mbaya?wewe!
Shonza yupo sehemu ya waliokatwa
Yes wakajiajiri ili watengeneze ajira kwa vijana maana tayari mitaji wanayoWaende wakajiajiri sasa na wao
Unafiki ni mbaya sanaNkamia na kupiga tarumbeta Mzee ale zaidi ya 5, yeye ndio kaishia kula mitano.