mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wazee wa dar watapumua sasa.Aiisee huyu jamaa alitusumbuwa sana hapa mjini Bora apotelee mazima [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] nazani hatupimwi tena tezi dume nyumba kwa nyumba
Bungeni aliaga kabisa kuwa hatotia niaNaomba kuuliza huyu mama Tibaijuka alikuwa ametia nia tena?
Kwa hiyo kama ni mzazi wako ndio utafurahia aendelee kuwa mlafi na kuwazibia vijana riziki miaka yote kama alivyo wasira?Kwa nini usimshauri kuanzisha biashara zingine akaachana na siasa.Angekuwa baba /mama ungechoka kumsikia Acha roho mbaya usifurahie kushindwa kwa mtu
CCM ni ile ile ukoo wa panyaHakuna Mbunge wa ccm mwenye mawazo mapya wote ni ya le yale ya siku zote kupiga meza
Wakiwa ccm huwa hawaekewi kwanini wenzao huwa wanataka tume huru ya uchaguziWABUNGE takribani 75 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao walijitosa kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba mwaka huu, wameangukia pua.
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya taifa (NEC), uliopitisha majina ya wagombea hao, umefanyika leo Alhamisi, tarehe 20 Agosti 2020 chini ya mwenyekiti wake, Dk. John Magufuli.
Kati ya wabunge hao, yumo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe; Naibu Waziri wa Kilimo, Omar Mgumba na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa.
Taarifa zinasema, katika orodha ya wabunge 264 -kwa maana ya majimbo 214 (Bara) na 50 ya Zanzibar – wamo wabunge wakongwe na maarufu, “waliokatwa.”
Mathalani, aliyepata kuwa mwanasheria mkuu wa serikali, waziri wa miundombinu na mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge, pamoja na kwamba alishinda kura za maoni katika jimbo lake la Bariadi Mashariki, lakini hakuteuliwa.
Wengine, ni mbunge wa miaka mingi na waziri wa zamani wa nishati na madini, William Ngeleja (Sengerema); aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba na aliyekuwa mbunge wa Busega, Raphael Chegeni.
Katika orodha hiyo, kuna wabunge wa viti maalum walioshindwa kura za maoni kwenye majimbo, akiwamo Angella Kairuki (Same Mashariki); Vick Kamata, aliyekuwa anataka kuligomboa jimbo la Kibamba na Halima Bulembo.
Wengine walioshindwa kupenya, ni Charles Tizeba (Buchosa), Balozi Adad Rajab (Muheza), Balozi Diodorus Kamala (Nkenge),Stephen Masele (Shinyanga Mjini), Julius Kalanga (Monduli), Maulid Mtulia (Kinondoni), Lolesia Bukwimba (Busanda), Juma Nkamia (Chemba), Chacha Ryoba (Serengeti) na Albert Obama (Buhigwe).
Wengine, ni Daniel Nsanzugwanko (Kasulu Mjini), Mbaraka Bawazir (Kilosa), Goodluck Mlinga (Ulanga), Suleiman Ahmed Saddiq (Mvomero), Abadallah Mtolea (Temeke), Haroon Pirmohamed (Mbarali), Rafael Gashaza (Ngara), Prof. Jumanne Maghembe (Mwanga), Hassan Masala (Nachingwea), Jitu Soni (Babati Vijijini) na Isaay Paulo (Mbulu Mjini).
Wamo pia, James Ole Millya (Simanjiro), Emmanuel Papian (Kiteto), Omar Badwel (Bahi), Issa Mangungu (Mbagala), Augustino Masele (Mbogwe), Venance Mwamoto (Kilolo), Godfrey Mgimwa (Kalenga), Mahmoud Mgimwa (Mufundi Kaskazini), Edwin Sannda (Kondoa Mjini) na Charles Kitwanga (Misungwi).
Wengine, ni Oscar Mukasa (Biharamulo Magharibi), Dk. Pundenciana Kikwembe (Kavuu), Richard Mbogo (Nsimbo), Christopher Chiza (Buyungu), Peter Serukamba (Kigoma Kaskazini), Prof. Noman Sigalla (Makete), Kangi Lugola (Mwibara), Deogratias Ngalawa (Ludewa), Hassan Kaunje (Lindi Mjini) na William Dau (Nanyumbu).
Wengine, ni Dk. Mary Nangu (Hanang), Hasna Mwilima (Kigoma Kusini), George Lubeleje (Mpwapwa), Joel Mwaka (Chinolwa) sasa Chamwino; Jerome Bwanausu (Lulindi), Rashid Chuachua (Masasi), Saul Amon (Rungwe), Peter Lijualikali (Kilombero), Nimrod Mkono (Butiama) na Victor Mwambalaswa (Lupa).
Katika orodha hiyo, wapo pia Dk. Shukuru Kawambwa (Bagamoyo), Dk. Haji Mponda (Malinyi), Omary Kigoda (Handeni Mjini), Mary Chatanda (Korogwe Mjini), Mboni Mhita (Handeni Vijijini), Edward Mwalongo (Njombe Mjini), Joram Hongoli (Lupembe), Greyson Lwenge (Wanging’ombe), Dk. Dalaly Kafumu (Igunga), Mussa Ntimizi (Igalula) na Ezekiel Maige (Msalala).
Wengine, ni Allan Kiula (Iramba Mashariki), Justin Monko (Singida Kaskazini), Janet Mbene (Ileje), John Kadutu (Ulyankulu) na Prof. Anna Tibaijuka (Muleba Kusini) , Salum Khamis (Meatu) na Daniel Mtuka (Manyoni Mashariki), Salum Khamis (Meatu) na Daniel Mtuka (Manyoni Mashariki).
Kupatikana kwa taarifa kuwa robo ya wabunge wa CCM wameenguliwa na chama chao; na au wamelazimishwa na wajumbe kustaafu, kunatokana na hatua ya NEC ya chama hicho, kuwapigia mstari mwekundu.
Ila Jiwe ni jasiri jamani, kamchinja Cjenge?
CCM ni ile ile ukoo wa panyaMawazi mapya hayapatikani ndani ya Sera zile zile kila mwakaa zisiofatwa na kutekelezwa na mtu tofauti wa chama hicho hicho yani sawa na Kubadilisha Dereva wa Gari Bovu ukitegemea litakuwa zima kisa umebadili dereva
Yani katika kitu nashukuru ni kumkata huyu Bashite ,Sasa hata road hamna misafara ya hovyo hovyo Sasa tunapumuwa na kufurahia jiji,, Ile ishu ya kupima tezi dume ilikuwa inafikilisha sana maana kukutia dole siyo mchezo 😊😊😊😊[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wazee wa dar watapumua sasa.
Maana ilikuwa hatupumui mara kupimwa tezi dume mara kusaka vyoo vinavyotiririsha maji na migambo yake.
Y
Yani katika kitu nashukuru ni kumkata huyu Bashite ,Sasa hata road hamna misafara ya hovyo hovyo Sasa tunapumuwa na kufurahia jiji,, Ile ishu ya kupima tezi dume ilikuwa inafikilisha sana maana kukutia dole siyo mchezo [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hii habari imejaa uongo; si wote waliotajwa waliomba tena kupitishwa mfano Prof. Tibaijuka, Nimrod Mkono hawakuombaWABUNGE takribani 75 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao walijitosa kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba mwaka huu, wameangukia pua.
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya taifa (NEC), uliopitisha majina ya wagombea hao, umefanyika leo Alhamisi, tarehe 20 Agosti 2020 chini ya mwenyekiti wake, Dk. John Magufuli.
Kati ya wabunge hao, yumo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe; Naibu Waziri wa Kilimo, Omar Mgumba na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa.
Taarifa zinasema, katika orodha ya wabunge 264 -kwa maana ya majimbo 214 (Bara) na 50 ya Zanzibar – wamo wabunge wakongwe na maarufu, “waliokatwa.”
Mathalani, aliyepata kuwa mwanasheria mkuu wa serikali, waziri wa miundombinu na mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge, pamoja na kwamba alishinda kura za maoni katika jimbo lake la Bariadi Mashariki, lakini hakuteuliwa.
Wengine, ni mbunge wa miaka mingi na waziri wa zamani wa nishati na madini, William Ngeleja (Sengerema); aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba na aliyekuwa mbunge wa Busega, Raphael Chegeni.
Katika orodha hiyo, kuna wabunge wa viti maalum walioshindwa kura za maoni kwenye majimbo, akiwamo Angella Kairuki (Same Mashariki); Vick Kamata, aliyekuwa anataka kuligomboa jimbo la Kibamba na Halima Bulembo.
Wengine walioshindwa kupenya, ni Charles Tizeba (Buchosa), Balozi Adad Rajab (Muheza), Balozi Diodorus Kamala (Nkenge),Stephen Masele (Shinyanga Mjini), Julius Kalanga (Monduli), Maulid Mtulia (Kinondoni), Lolesia Bukwimba (Busanda), Juma Nkamia (Chemba), Chacha Ryoba (Serengeti) na Albert Obama (Buhigwe).
Wengine, ni Daniel Nsanzugwanko (Kasulu Mjini), Mbaraka Bawazir (Kilosa), Goodluck Mlinga (Ulanga), Suleiman Ahmed Saddiq (Mvomero), Abadallah Mtolea (Temeke), Haroon Pirmohamed (Mbarali), Rafael Gashaza (Ngara), Prof. Jumanne Maghembe (Mwanga), Hassan Masala (Nachingwea), Jitu Soni (Babati Vijijini) na Isaay Paulo (Mbulu Mjini).
Wamo pia, James Ole Millya (Simanjiro), Emmanuel Papian (Kiteto), Omar Badwel (Bahi), Issa Mangungu (Mbagala), Augustino Masele (Mbogwe), Venance Mwamoto (Kilolo), Godfrey Mgimwa (Kalenga), Mahmoud Mgimwa (Mufundi Kaskazini), Edwin Sannda (Kondoa Mjini) na Charles Kitwanga (Misungwi).
Wengine, ni Oscar Mukasa (Biharamulo Magharibi), Dk. Pundenciana Kikwembe (Kavuu), Richard Mbogo (Nsimbo), Christopher Chiza (Buyungu), Peter Serukamba (Kigoma Kaskazini), Prof. Noman Sigalla (Makete), Kangi Lugola (Mwibara), Deogratias Ngalawa (Ludewa), Hassan Kaunje (Lindi Mjini) na William Dau (Nanyumbu).
Wengine, ni Dk. Mary Nangu (Hanang), Hasna Mwilima (Kigoma Kusini), George Lubeleje (Mpwapwa), Joel Mwaka (Chinolwa) sasa Chamwino; Jerome Bwanausu (Lulindi), Rashid Chuachua (Masasi), Saul Amon (Rungwe), Peter Lijualikali (Kilombero), Nimrod Mkono (Butiama) na Victor Mwambalaswa (Lupa).
Katika orodha hiyo, wapo pia Dk. Shukuru Kawambwa (Bagamoyo), Dk. Haji Mponda (Malinyi), Omary Kigoda (Handeni Mjini), Mary Chatanda (Korogwe Mjini), Mboni Mhita (Handeni Vijijini), Edward Mwalongo (Njombe Mjini), Joram Hongoli (Lupembe), Greyson Lwenge (Wanging’ombe), Dk. Dalaly Kafumu (Igunga), Mussa Ntimizi (Igalula) na Ezekiel Maige (Msalala).
Wengine, ni Allan Kiula (Iramba Mashariki), Justin Monko (Singida Kaskazini), Janet Mbene (Ileje), John Kadutu (Ulyankulu) na Prof. Anna Tibaijuka (Muleba Kusini) , Salum Khamis (Meatu) na Daniel Mtuka (Manyoni Mashariki), Salum Khamis (Meatu) na Daniel Mtuka (Manyoni Mashariki).
Kupatikana kwa taarifa kuwa robo ya wabunge wa CCM wameenguliwa na chama chao; na au wamelazimishwa na wajumbe kustaafu, kunatokana na hatua ya NEC ya chama hicho, kuwapigia mstari mwekundu.
Daudi A Bashite anazawadiwa Ubunge kwenye vile viti maalum 10 vya mtukufu na kisha kupewa wizara ya mambo ya ndani ili awakomoe chadema na baadhi ya wanaccm waliomzodoa kipindi hiki yupo nje ya Benchi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wazee wa dar watapumua sasa.
Maana ilikuwa hatupumui mara kupimwa tezi dume mara kusaka vyoo vinavyotiririsha maji na migambo yake.
Saizi watahamia vyama pinzani kwa wingi sanaWakiwa ccm huwa hawaekewi kwanini wenzao huwa wanataka tume huru ya uchaguzi
Habari haijaa uongo bali ina mapungufu machache sana kama hao wawili tu na kukosekana jina la Steven wasira mleHii habari imejaa uongo; si wote waliotajwa waliomba tena kupitishwa mfano Prof. Tibaijuka, Nimrod Mkono hawakuomba
Daudi A Bashite anazawadiwa Ubunge kwenye vile viti maalum 10 vya mtukufu na kisha kupewa wizara ya mambo ya ndani ili awakomoe chadema na baadhi ya wanaccm waliomzodoa kipindi hiki yupo nje ya Benchi
Hicho kitu ndiyo bado kinaniuma sana naomba maana ataanza kutusumbuwa sana na kutukomoa Tena maana Ile bichwa inapenda misifa sana,, Naomba Raisi ampotezee mazima🤔🤔🤔Daudi A Bashite anazawadiwa Ubunge kwenye vile viti maalum 10 vya mtukufu na kisha kupewa wizara ya mambo ya ndani ili awakomoe chadema na baadhi ya wanaccm waliomzodoa kipindi hiki yupo nje ya Benchi
Mwakyembe Bashite masele na wenzao wachache watapewa ubunge wa bure na mtukufuSaizi watahamia vyama pinzani kwa wingi sana
Adadi, chenge ngoma ngumu round hii
Wamelipata
Ova