Uchaguzi 2020 Wafahamu watu 75 waliokuwa wabunge wa CCM walioliwa kichwa na kukosa uteuzi. Wamo Mwakyembe, Tizeba, Nkamia, Chenge, Adadi, Ngeleja, Masele nk

Nkamia na kupiga tarumbeta Mzee ale zaidi ya 5, yeye ndio kaishia kula mitano.
Kuna upambe mwingine mpaka unayempamba anakuona mjinga.

Jiwe kamkata mpaka Obama.

Mtu alishasema ataangalia jinsi alivyoamka siku hiyo. Si katiba, muongozo, ilani wala utamaduni.

Unaona huyo mtu ana akili za kawaida?

Ukimkubali Magufuli kubali surprise yoyote. Hana formula yule.
 
Mpaka Anna Tibaujuka umemuweka kwenye list. Kweli nyie waandishi hamjui konachoendelea duniani.
 
Mimi nifurahi kwa hawa kuenguliwa

1. Andrew Chenge - Mpiga dili

2. Goodluck Mlinga - Mwomba miongozo isiyo na kichwa wala miguu

3. Harrison Mwakyembe - Dharau

4. Maulid Mtulia - Kifo cha Aquilina

5. Charles Kitwanga - Mlevi

6. Kangi Lugola - Mkata mauno, alikufuru Bungeni
 
Unabisha hao wote wanaenda kuuza ramani kwa Lissu ngoja ccm mwaka huu mnapotezwa acha kukariri hakuna pakutokea anga zote zimefungwa
Yule Mzee alishindwa kuuza ramani 2015 hawa wataweza kweli.
 
Ila kwa namna moja CCM ipongezwe kwa kuwatosa akina (Chenge, Ngeleja, Chegeni, Serukamba, Obama, Nkamia nk) maana waliona kama vile bila wao majimbo yao hayapati maendeleo! Bora kuleta sura mpya ambazo zinaweza kuleta chachu ya maendeleo
Hivi mbunge wangu hewa SAULI .H AMON wa rungwe kaponaje kwa mfano? Maana mule hamna kitu chochote...sema Rungwe tuna bahati mbaya sana ktk kumpata mtu sahihi sijui tunafeli wapi wanyakyusa wenzangu ...
Kama wamempitisha (maana kura za maoni alitoboa) basi hilo jimbo ni sawa na kutokuwa na mwakilishi....SAuli sio mwanasiasa
 
Wabunge wa CCM hata uweke wapya wote kugonga meza na kusema ndioooo kupo pale pale
 
Heheh mwaka huu kweli liwalo na liwe
Wajumbe kila mara wanakuja na ya kufurahisha
 
Duh! Majembe kama Kibajaji na Msukuma bado yanaaminika ndani ya chama na kuzidi kupeta.
 
WABUNGE WA CCM WALIOPOTEZA UBUNGE WAO 2020

• Andrew Chenge - Bariadi Mashariki.
• Harrison Mwakyembe - Kyela
• William Ngeleja - Sengerema
• Peter Serukamba - Kigoma Kaskazini
• Raphael Chegeni - Busega
• Angella Kairuki - Same Mashariki
• Vick Kamata - Viti Maalumu
• Halima Bulembo - Viti Maalumu
• Charles Tizeba - Buchosa
• Adad Rajab - Muheza
• Diodorus Kamala - Nkenge
• Stephen Masele - Shinyanga Mjini
• Julius Kalanga - Monduli • Maulid Mtulia - Kinondoni •Lolesia Bukwimba - Busanda •Juma Nkamia - Chemba
• Chacha Ryoba - Serengeti
• Albert Obama - Buhigwe
• Daniel Nsanzugwanko - Kasulu Mjini
• Mbaraka Bawazir - Kilosa
• Goodluck Mlinga - Ulanga
• Suleiman Saddiq - Mvomero
• Abadallah Mtolea - Temeke
• Haroon Pirmohamed - Mbarali
• Rafael Gashaza - Ngara
• Jumanne Maghembe - Mwanga
• Hassan Masala - Nachingwea
• Jitu Soni - Babati Vijijini
•James Ole Millya - Simanjiro
• Emmanuel Papian - Kiteto
• Omar Badwel - Bahi
• Issa Mangungu -Mbagala
• Augustino Masele - Mbogwe
• Venance Mwamoto - Kilolo
• Godfrey Mgimwa - Kalenga
• Mahmoud Mgimwa - Mufindi Kaskazini
• Edwin Sannda - Kondoa Mjini
• Charles Kitwanga - Misungwi
• Oscar Mukasa - Biharamulo Magharibi
• Pundenciana Kikwembe - Kavuu
• Richard Mbogo - Nsimbo
• Christopher Chiza - Buyungu
• Peter Serukamba - Kigoma Kaskazini
• Noman Sigalla - Makete
• Kangi Lugola - Mwibara
• Deogratias Ngalawa - Ludewa
• Hassan Kaunje - Lindi Mjini
• William Dau - Nanyumbu
• Mary Nangu - Hanang
• Hasna Mwilima - Kigoma Kusini
• George Lubeleje - Mpwapwa
• Joel Mwaka - Chamwino
• Jerome Bwanausu - Lulindi
• Rashid Chuachua - Masasi
• Saul Amon - Rungwe
• Nimrod Mkono -Butiama
• Victor Mwambalaswa - Lupa
• Shukuru Kawambwa - Bagamoyo
• Haji Mponda - Malinyi
• Omary Kigoda - Handeni Mjini
• Mary Chatanda - Korogwe Mjini
• Mboni Mhita - Handeni Vijijini
• Edward Mwalongo - Njombe Mjini
• Joram Hongoli - Lupembe
• Greyson Lwenge - Wanging’ombe
• Dalali Kafumu - Igunga
• Mussa Ntimizi - Igalula
• Ezekiel Maige - Msalala
• Allan Kiula - Iramba Mashariki
• Justin Monko - Singida Kaskazini
• Janet Mbene - Ileje
• John Kadutu - Ulyankulu
• Anna Tibaijuka - Muleba Kusini
• Salum Khamis - Meatu
• Daniel Mtuka - Manyoni Mashariki
• Salum Khamis -Meatu Daniel
• Hamud Jumaa - Kibaha Vijijini
• Steven Masele - Shinyanga Mjini...

Na Mchwaka.....
 
Wewe utakuwa mmoja wao maana umekuwa frustrated maana kuna wengine umewaacha.
Sulemani nchambi.kishapu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…