P pharmast Member Joined Sep 8, 2024 Posts 47 Reaction score 99 Sep 24, 2024 #1 Wafamasia kesho ndo siku yenu kipi mnafurahia na kipi kinawaboa
T Tangantika JF-Expert Member Joined Aug 12, 2018 Posts 5,586 Reaction score 7,087 Sep 28, 2024 #2 Siku hizi wamebanwa kweli hawaibi madawa kirahisi. Yaani madawa yamekua na urasimu wa hali ya juu. Zamani kila mfamasia alifungua duka la dawa ila mtaji walitoa duka la serikali.
Siku hizi wamebanwa kweli hawaibi madawa kirahisi. Yaani madawa yamekua na urasimu wa hali ya juu. Zamani kila mfamasia alifungua duka la dawa ila mtaji walitoa duka la serikali.
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Sep 28, 2024 #3 Bongo hakuna wafamasia bali watunza stoo za dawa na kugawa dawa.