Ashkiiiiiikisa ni nini? uhuni, ukahaba au umalaya ulipindukia.....?
Aisee hii nchi ngumu sana jamani! Ngosha kazi unayo. Wafanya usafi, seriously!
Tumbo lako lina endeleaje??Jamani tumuogope Mungu...
Nimepungua kilo 2 Mkuu...mapambano bado yanaendelea.... Ntalitoa TKO Kama mwakwinyoTumbo lako lina endeleaje??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli mkuu pambana ulitoe kwa Tko ya hatariNimepungua kilo 2 Mkuu...mapambano bado yanaendelea.... Ntalitoa TKO Kama mwakwinyo
Mr nae anakusapoti [emoji16]Nimepungua kilo 2 Mkuu...mapambano bado yanaendelea.... Ntalitoa TKO Kama mwakwinyo
Ukimw sku hz hauna nguvu tenaAisee!!! Si rahisi ukimwi kuisha.