Wafanya usafi maofisini kimbilio la madomo zege

Mbona wako poa afu wengine ni wife material.Ni wavumilivu Sana.Nimeshuhudia wakifanya maendeleo kuliko hawa wadada ambao waajiriwa ofisini.Kwanza mmoja hapa kwetu huwa anakopesha hela mpaka milion 1 ukitaka.

Mwanamke kukupa tupu yake sio kwamba Malaya siku zote.
 
Hadi Raha asee. Huendi mbali sijui gharama za bajaji sijui chumba
 
hali si hali uchumi upo ICU naona sasa tutakubali japo kwa shingo upande umuhimu wa hawa watu.
 
Sasa huko toilet inakuwaje?,unamshikisha ukuta au mbuzi kagoma? maana nafasi haitoshi hata kwa mbuzi kagoma.
 
We jilengeshe tu kwake,kama hajaja kufungua uzi jinsi alivyokutafuna kisamaki,yaani pande zote mbili.,akakutaja na Jina humu.
 
Reactions: irk
Hahahahahah[emoji23] yani cjui umefikiria nn mkuu au ndo michezo yako nn?
 
Aisee!!! Si rahisi ukimwi kuisha.
Si wanatumia MIAMVULI?
Mawazo ya wavulana bwana!! Taabu tupu
Kumbe wewe ni jimama?
Mmh! Udhalilishaji huu sasa
Hapana ni makubaliano tu.
Hahahahahah[emoji23] yani cjui umefikiria nn mkuu au ndo michezo yako nn?
Baby mbona umenitupa?,sisikii tena yale maneno yako matamu,basi nakualika PM,i think its marvelous to be there au vipi?
 
Reactions: irk
Mkuu kuongeza mshahara sidhani kama kuna uhusiano na ngono. Kama alivyoeleza mtangulizi hapo juu, Zuma au boss wa IFM mishahara yao ni kuduchu?
 
Si wanatumia MIAMVULI?

Kumbe wewe ni jimama?

Hapana ni makubaliano tu.

Baby mbona umenitupa?,sisikii tena yale maneno yako matamu,basi nakualika PM,i think its marvelous to be there au vipi?
Baby umemisika ile mbaya!!!
 
Baby umemisika ile mbaya!!!
Daah hata siamini,maana nakuona mtandaoni lakini unanikaushia,anyway kama namisika basi hapo nakuamini,coz unajua tena mazoea yana tabu,yaani nishakuzoea kinoma hadi napagawa nisipokusikia baby.
 
Daah hata siamini,maana nakuona mtandaoni lakini unanikaushia,anyway kama namisika basi hapo nakuamini,coz unajua tena mazoea yana tabu,yaani nishakuzoea kinoma hadi napagawa nisipokusikia baby.
Aaaargh hahahahahaha!!! baby taratibu basi
 
Huyu nae ni mfanyakazi wa serikali ya Tz. Huyu ndio Magufuli anamtegemea aivushe Tz kwenye uchumi wa kati, tz ya viwanda. Huyu ni zaidi ya mtumishi hewa... Bichwa linanuka ngono...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…