KERO Wafanyabiashara Chato kulazimishwa kuchangia Mwenge wa Uhuru siyo sawa

KERO Wafanyabiashara Chato kulazimishwa kuchangia Mwenge wa Uhuru siyo sawa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Natokea wilaya ya Chato kata ya Bwanga mkoa wa Geita.

Kuna kitu kinaniuma sana kila mwaka MWENGE wa Uhuru ukikaribia kupita kuna kuwa na michango ambayo wanakuwa wanaombwa akina mama Wanaouza pombe za kienyeji sh 1,000 kila mmoja, maduka ya dawa 10,000 kila mmoja, maduka makubwa ya bidhaa zingne kuanzia 5,000 hadi 10,000

Sasa najiuliza hizi hela huwa niza nini hasa?
Je, huu mwenge wa Uhuru hauna bajeti yake?
Kama una bajeti yake kwanini ofisi ya Mtendaji wa Kata na Kijiji wanachangisha hizi pesa?
 
Natokea wilaya ya Chato kata ya Bwanga mkoa wa Geita.

Kuna kitu kinaniuma sana kila mwaka MWENGE wa Uhuru ukikaribia kupita kuna kuwa na michango ambayo wanakuwa wanaombwa akina mama Wanaouza pombe za kienyeji sh 1,000 kila mmoja, maduka ya dawa 10,000 kila mmoja, maduka makubwa ya bidhaa zingne kuanzia 5,000 hadi 10,000

Sasa najiuliza hizi hela huwa niza nini hasa?
Je, huu mwenge wa Uhuru hauna bajeti yake?
Kama una bajeti yake kwanini ofisi ya Mtendaji wa Kata na Kijiji wanachangisha hizi pesa?
Hiari,lakini si mnakipends chama tawala,msilalamike!
 
Natokea wilaya ya Chato kata ya Bwanga mkoa wa Geita.

Kuna kitu kinaniuma sana kila mwaka MWENGE wa Uhuru ukikaribia kupita kuna kuwa na michango ambayo wanakuwa wanaombwa akina mama Wanaouza pombe za kienyeji sh 1,000 kila mmoja, maduka ya dawa 10,000 kila mmoja, maduka makubwa ya bidhaa zingne kuanzia 5,000 hadi 10,000

Sasa najiuliza hizi hela huwa niza nini hasa?
Je, huu mwenge wa Uhuru hauna bajeti yake?
Kama una bajeti yake kwanini ofisi ya Mtendaji wa Kata na Kijiji wanachangisha hizi pesa?
chngieni tu msilalamike sasa kama huko ndio alikozikwa mkuu wa malaika mnaachaje kuchangia changieni tu maana maendeleo hayana chama
 
Bajeti ya mwenge ni mafuta, posho kwa wakimbiza mwenge toka Taifa vinywaji kwa wakimbiza mwenge kitaifa. Generally budget inawahusu wale wanaotoka taifa. Kwahyo ngazi ya mkoa na wilaya wanatakiwa kutafta vyanzo vya ku rise fund kugharamia watu wake na gharama nyinginezo.
 
chngieni tu msilalamike sasa kama huko ndio alikozikwa mkuu wa malaika mnaachaje kuchangia changieni tu maana maendeleo hayana chama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jf ukiwa na stress wewe ingia tu humu stress kwisha
 
Tena mnapaswa kumshukuru mama kwa kuwaletea mwenge chato. Ni mwendo wa kugalagala .wafanyabiashara wote mnatakiwa mgalegale kwa furaha
 
Back
Top Bottom