Wafanyabiashara jijini Mbeya waungana na wenzao wa Kariakoo na Mwanza kugoma

Wafanyabiashara jijini Mbeya waungana na wenzao wa Kariakoo na Mwanza kugoma

PLATO_

Senior Member
Joined
Jan 25, 2020
Posts
116
Reaction score
230
Leo nimepita mitaa ya Mwanjelwa nimekuta fremu zimefungwa. Wamachinga wanaendelea na biashara zao kama kawaida.

20240625_100841.jpg
20240625_100903.jpg


====

Ni siku ya pili ya muendelezo wa mgomo wa wafanyabiashara Jiji Mbeya, kutokufungua maduka waliodai hauna kikomo mpaka pale Serikali itakapotatua changamoto zao za kikodi.

Katika mitaa mbalimbali maarufu ya biashara Jijini humo hakuna huduma yeyote inayopatikana zaidi ya machinga wanaoendele na shughuli zao huku wakieleza changamoto wanayokumbana nayo kwa kukosa bidhaa ambazo wanategemea kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa ndipo waingie sokoni kuuza.

Chanzo: ITV

Pia soma:
 
Migomo ipo mwanza,arusha,singida,Dodoma,dar, kyela,mbeya jiji, Kilimanjaro wameanza,
 
Wakiendelea hivi kwa wiki kadhaa the situation is going to be very bad mtaani. Bidaa zitakosekana na bei zitapanda, wananchi watarise sauti.

Hapa naona kunakamkakati fulani hivi
 
Kuna wakati mambo yanakuwa magumu kiasi kwamba unakuwa huna namna nyingine, bali kuchukua njia yenye magumu> Necessity is the mother of all inventions.
Kufanya kazi za umma ni utumishi. Na cheo ni dhamana. Ila wenzangu wengine wamejigeuza Miungu watu. Hizi shida zimetengenezwa na kukosa busara
 
Mwenyezi-Mungu azibariki kazi za mikono ya wafanya biashara.
 
Ni siku ya pili ya muendelezo wa mgomo wa wafanyabiashara Jiji Mbeya, kutokufungua maduka waliodai hauna kikomo mpaka pale Serikali itakapotatua changamoto zao za kikodi.

Katika mitaa mbalimbali maarufu ya biashara Jijini humo hakuna huduma yeyote inayopatikana zaidi ya machinga wanaoendele na shughuli zao huku wakieleza changamoto wanayokumbana nayo kwa kukosa bidhaa ambazo wanategemea kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa ndipo waingie sokoni kuuza.

Chanzo: ITV
 
Kuna wakati mambo yanakuwa magumu kiasi kwamba unakuwa huna namna nyingine, bali kuchukua njia yenye magumu> Necessity is the mother of all inventions.
Kufanya kazi za umma ni utumishi. Na cheo ni dhamana. Ila wenzangu wengine wamejigeuza Miungu watu. Hizi shida zimetengenezwa na kukosa busara
Well say, hata kama njia ni ngumu tunazozichukua tusiogope kwani ijapokuwa tutapitia mateso mwisho wa siku yataisha maana mateso yanamwisho suluhisho hupatikana.
 
Duniani kote huwez beza wafanyabiashara..
 
Duniani kote huwez beza wafanyabiashara..
Tanzania kufanya biashara ni kwa hisani ya wakusanya kodi. Anytime wanaweza kuja na bill ikafunga biashara yako. Na mara nyingi kutishia kodi kubwa ni kawaida ili wajenge mazingira ya kukula kichwa
 
Back
Top Bottom