Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa

Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Ikiwa baada ya siku chache kupita ambapo Viongpozi walibembelezwa kusikiliza na kutatua kero za Wafanyabiashara kariakoo bila mafanikio, wafanyabiashara hao wameadhimia kugoma mgomo usio na kikomo mpaka watakaposikilizwa na kutatuliwa kero zao.

Kwa uchunguzi wa chini chini kuhusu mgomo huo unaratibiwa kwa usiri mkubwa kwa kile kinachoelezwa kuhofia usalama wa wahusika.

Hivyo tutegemee lolote kutokea kutoka pande hizo.
 
Ikiwa baada ya siku chache kupita ambapo Viongpozi walibembelezwa kusikiliza na kutatua kero za Wafanyabiashara kariakoo bila mafanikio , wafanyabiashara hao wameadhimia kugoma mgomo usio na kikomo mpaka watakaposikilizwa na kutatuliwa kero zao.Kwa uchunguzi wa chini chini kuhusu mgomo huo unaratibiwa kwa usiri mkubwa kwa kile kinachoelezwa kuhofia usalama wa wahusika.Hivyo tutegemee lolote kutokea kutoka pande hizo.
Watanzania hatujui kugoma
 
Ikiwa baada ya siku chache kupita ambapo Viongpozi walibembelezwa kusikiliza na kutatua kero za Wafanyabiashara kariakoo bila mafanikio , wafanyabiashara hao wameadhimia kugoma mgomo usio na kikomo mpaka watakaposikilizwa na kutatuliwa kero zao.Kwa uchunguzi wa chini chini kuhusu mgomo huo unaratibiwa kwa usiri mkubwa kwa kile kinachoelezwa kuhofia usalama wa wahusika.Hivyo tutegemee lolote kutokea kutoka pande hizo.
Hawatafungua biashara? Wakifanya hivyo nani anapata hasara , who cares
 
Mchina ataendelea kuwepo Tanzania na ata dominate biashara na hakuna wa kumzuia sababu ya mikataba uchwara ya Rais fulani kule China baada ya successful sperm yake kudakwa na Unga
 
Mkuu wa Mkoa wa Sasa nilikuwa na Imani naye sana.Lakini siku zonavyozidi kwenda naona amedakwa na wanadarisama.Amebaki kuchekesha tu kwenye mikutano.
Na yeye aliletwa Dar kama mwarobaini wa kero sugu za wafanyabiashara.
 
kila siku wafanyabiashara wamekua wakiwekewa mazingira mazuri kabisa juu ya biashara zao hivyo hilo ni dua la kuku ndugu
 
Benny,

Ni kweli hujui kwamba serikali na uchumi kwa ujumla unaathirika?
Najua sana na nina andiko linalo husu mjasiriamali na yayo mzunguka Kwa ufupi linasema asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali ama mfanyabiashara lakini asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzinguka, ambapo kama jamii itanyamaza kuto buni mbinu za kukabiliana na yasiyoyatarajiwa, (changamoto), basi hii asilimia 20 Ina weza kuwa na nguvu hata kuua biashara, I have also possible solutions, yaani Niko vizuri kuliko hata inavyo fikiri hapa nilitaka kuzijua changamoto walizo ainisha naandika kitabu cha ujasiriamali kilicho fikirishi
 
kila siku wafanyabiashara wamekua wakiwekewa mazingira mazuri kabisa juu ya biashara zao hivyo hilo ni dua la kuku ndugu
Dr

Kamsikilize Martin mbwana. Kama wewe si mfanyabiashara hutaelewa.
 

Attachments

  • 6EE2D3FC-6959-4EBE-8140-5BA88F6B1027.jpeg
    6EE2D3FC-6959-4EBE-8140-5BA88F6B1027.jpeg
    171.4 KB · Views: 6
kama jamii itanyamaza kuto buni mbinu za kukabiliana na yasiyoyatarajiwa basi hii asilimia 20 Ina weza kuwa na nguvu hata kuua biashara, I have also possible solutions
Benny

Unamaanisha nini jamii kutobuni mbinu za kukabiliana na yasiyotarajiwa?

Nione hilo andiko mkuu?
 
Benny

Unamaanisha nini jamii kutobuni mbinu za kukabiliana na yasiyotarajiwa?

Nione hilo andiko mkuu?
Ninalo mkuu ila siwezi kuliweka hapa mpaka liwe na patent, kuna mambo yanayo sabisha kukwama kumbe nikwasababu ya jamii kunyamaza,(kuto kuhoji), na kupokea hata vitu ambavyo havina afya katika biashara, niishie hapo naweza chafua hali hewa hata hivyo nimetumia lugha kificho
 
Kariakoo ilikuwa model ambayo majirani wameitumia vyema. Kariakoo haingii hata robo ya chimpala kwa msaba. Na mutu ya pesa mingi {pepe kalee etc) iko peleka dola pale na nji yoo yajenga hata Rodi zao boashara ziende. Hata mitu ya kokoo huenda kujumua mali kwule Bongo tugonile Fwala.
 
Back
Top Bottom