Wafanyabiashara Kariakoo wamekimbilia Mwenge, Tandika na Mbagala, wameona hali ngumu

Wafanyabiashara Kariakoo wamekimbilia Mwenge, Tandika na Mbagala, wameona hali ngumu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Huku Tandika, ukienda Mbagala rangi 3, ukienda Mwenge, ukienda Kinondoni biashara zinakwenda kama kawaida, wale waliogoma Kariakoo na kuwashawishi wa mikoani nao wagoner wanazuga tu, hakyamungu had j3 watarudi wenyewe.

Biashara Tandika na Mwenge zinafanyika kwa kasi kubwa sana, tena wanaombea kariakoo wafunge biashara zao maana nimeeenda Tandika leo watu wanafungasha sio kawaida

Mnaogoma na upumbavu wenu endeleeni kutesa familia zenu mkidhan mnakomoa serikali, biashara zinafanyika kwa wingi sana Posta, Tandika na Mwenge.

Serikali, kama wafanyabiashara wwmeshindwa kuheshimu kauli ya PM alipoongea na uongozi wa wafanyabiashara basi njia pekee ni kuimarisha masoko hayo ya Tandika, Mwenge, Mbagala ili Kariakoo wasijione special sana
 
Huku Tandika, ukienda Mbagala rangi 3, ukienda Mwenge, ukienda Kinondoni biashara zinakwenda kama kawaida, wale waliogoma Kariakoo na kuwashawishi wa mikoani nao wagoner wanazuga tu, hakyamungu had j3 watarudi wenyewe....
Biashara ya sehemu haiwezi kuimarishwa na serikali bali wafanyabiashara binarsi wa eneo husoka
 
Huku Tandika, ukienda Mbagala rangi 3, ukienda Mwenge, ukienda Kinondoni biashara zinakwenda kama kawaida, wale waliogoma Kariakoo na kuwashawishi wa mikoani nao wagoner wanazuga tu, hakyamungu had j3 watarudi wenyewe.

Biashara Tandika na Mwenge zinafanyika kwa kasi kubwa sana, tena wanaombea kariakoo wafunge biashara zao maana nimeeenda Tandika leo watu wanafungasha sio kawaida

Mnaogoma na upumbavu wenu endeleeni kutesa familia zenu mkidhan mnakomoa serikali, biashara zinafanyika kwa wingi sana Posta, Tandika na Mwenge.

Serikali, kama wafanyabiashara wwmeshindwa kuheshimu kauli ya PM alipoongea na uongozi wa wafanyabiashara basi njia pekee ni kuimarisha masoko hayo ya Tandika, Mwenge, Mbagala ili Kariakoo wasijione special sana
Watu kama nyie waliuawa huko SA wakati wa Apartheid
 
Huku Tandika, ukienda Mbagala rangi 3, ukienda Mwenge, ukienda Kinondoni biashara zinakwenda kama kawaida, wale waliogoma Kariakoo na kuwashawishi wa mikoani nao wagoner wanazuga tu, hakyamungu had j3 watarudi wenyewe.

Biashara Tandika na Mwenge zinafanyika kwa kasi kubwa sana, tena wanaombea kariakoo wafunge biashara zao maana nimeeenda Tandika leo watu wanafungasha sio kawaida

Mnaogoma na upumbavu wenu endeleeni kutesa familia zenu mkidhan mnakomoa serikali, biashara zinafanyika kwa wingi sana Posta, Tandika na Mwenge.

Serikali, kama wafanyabiashara wwmeshindwa kuheshimu kauli ya PM alipoongea na uongozi wa wafanyabiashara basi njia pekee ni kuimarisha masoko hayo ya Tandika, Mwenge, Mbagala ili Kariakoo wasijione special sana
Mi nashauri serikali iuchune tu kama hawajui kinachoendelea. Na wanaodao marejesho wakaze buti kudai fedha zao
 
Huku Tandika, ukienda Mbagala rangi 3, ukienda Mwenge, ukienda Kinondoni biashara zinakwenda kama kawaida, wale waliogoma Kariakoo na kuwashawishi wa mikoani nao wagoner wanazuga tu, hakyamungu had j3 watarudi wenyewe.

Biashara Tandika na Mwenge zinafanyika kwa kasi kubwa sana, tena wanaombea kariakoo wafunge biashara zao maana nimeeenda Tandika leo watu wanafungasha sio kawaida

Mnaogoma na upumbavu wenu endeleeni kutesa familia zenu mkidhan mnakomoa serikali, biashara zinafanyika kwa wingi sana Posta, Tandika na Mwenge.

Serikali, kama wafanyabiashara wwmeshindwa kuheshimu kauli ya PM alipoongea na uongozi wa wafanyabiashara basi njia pekee ni kuimarisha masoko hayo ya Tandika, Mwenge, Mbagala ili Kariakoo wasijione special sana
nyie ndo wanawaita machawa kunuka
 
Huku Tandika, ukienda Mbagala rangi 3, ukienda Mwenge, ukienda Kinondoni biashara zinakwenda kama kawaida, wale waliogoma Kariakoo na kuwashawishi wa mikoani nao wagoner wanazuga tu, hakyamungu had j3 watarudi wenyewe.

Biashara Tandika na Mwenge zinafanyika kwa kasi kubwa sana, tena wanaombea kariakoo wafunge biashara zao maana nimeeenda Tandika leo watu wanafungasha sio kawaida

Mnaogoma na upumbavu wenu endeleeni kutesa familia zenu mkidhan mnakomoa serikali, biashara zinafanyika kwa wingi sana Posta, Tandika na Mwenge.

Serikali, kama wafanyabiashara wwmeshindwa kuheshimu kauli ya PM alipoongea na uongozi wa wafanyabiashara basi njia pekee ni kuimarisha masoko hayo ya Tandika, Mwenge, Mbagala ili Kariakoo wasijione special sana
DAhh
 
Back
Top Bottom