Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Unaamua kufanya biashara mtandaoni halafu huweki bei, lengo lako ni nini?
Inakera sana unakuta ukurasa umejaa watu wanauliza bei halafu hazijibiwi au wakijibu ni jibu la 'njoo DM' au 'piga namba hiyo hapo' ama 'kwa maelezo zaidi njoo WhatsApp'.
Kwani mkiweka bei kila mtu akaona mnapungukiwa nini? Tena si ndio inarahisisha mtu anajipimia mwenyewe kama anawezana nacho ama atarudi siku nyingine?
Acheni mambo zenu bana, mnakera sana!
Inakera sana unakuta ukurasa umejaa watu wanauliza bei halafu hazijibiwi au wakijibu ni jibu la 'njoo DM' au 'piga namba hiyo hapo' ama 'kwa maelezo zaidi njoo WhatsApp'.
Kwani mkiweka bei kila mtu akaona mnapungukiwa nini? Tena si ndio inarahisisha mtu anajipimia mwenyewe kama anawezana nacho ama atarudi siku nyingine?
Acheni mambo zenu bana, mnakera sana!