Kuna wateja huwa wapo wana view product silently hawacomment ila wanasoma tu... Sasa wakikutana na kauli hizo ..Kwake yeye Mteja si Mfalme.
Biashara inabidi uwe mpole ili kumshawishi Mteja wako.
Sasa kauli nzito kama hizo "Pita kushoto"!
Kwa Mteja mwenye NIA ya kweli ujue hapo unamfukuza
Hata humu tazama mtu anahza kiwanja SalasalaKuna Baadhi ya Watu kumbe umasikini sometimes upo kwenye Damu .. Hebu Angalia haya majibizano kati ya muuzaji wa magari na mteja.. Gari ilikuwa inauzwa Mil 7(fixed) kaandika muuzaji wateja wakakomment..
Sasa Muuzaji hivi unategemea utapata wateja kweli kwa majibu ya Hivyo.. View attachment 729897
Ni baadhi tu..Sio wote mbona kama mm nina customer care
haha tusiwalaumu sana TRA imewavuruga sanaBongo customer care ipo kwenye kutongoza tu sio sehemu nyingine
Jana nilikuwa sehemu nanunua kifaa fulani sasa nikaanza kuomba jamaa anipunguzie bei nikamtajia ambayo nipo willing kulipa jamaa akanijibu '... Kwa bei hiyo kama ni kuuza ungekuta mzigo umeisha Na nimeenda kuchukua Mwingine ...' Kwa kweli nilishindwa kujizuia kucheka
Yaan Watu Muda wote Ni visirani tu