njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Haijawahi kutokea na haitakaa itokeee free ride kama waliyonayo wafanyabishara wa Tanzania kwa sasa, usishangae leo ukakuta sabuni ya kuogea inauzwa 500 kesho asubuhi ni 1200 ukilalamika unaambiwa ni vita ya ukraine
Rais wa nchi kama mara tatu kwenye hotuba zake amekuwa akisisitiza kwamba ni lazima bidhaa zipande ni kama vile alikuwa anawashangaa wafanyabishara kwa nini hawapandishi bei nao kiukweli hawajamuangusha maana neno la Rais ni amri wanaupiga mwingii sana
Bidhaa hazishikiki, moto unawaka kwelikweli si mchezo waliohamasisha bei zipande huko waliko wanafurahi sana maana hata bei ya nyama inapanda sababu ya vita vya ukraine
Haya bana hewala siye mafala tunashukuru wafanyabishara endeleeni kulamba asali ,huu wakati wengu mmepewa green light gongesheni bei hadi watu waite maji MMA
Rais wa nchi kama mara tatu kwenye hotuba zake amekuwa akisisitiza kwamba ni lazima bidhaa zipande ni kama vile alikuwa anawashangaa wafanyabishara kwa nini hawapandishi bei nao kiukweli hawajamuangusha maana neno la Rais ni amri wanaupiga mwingii sana
Bidhaa hazishikiki, moto unawaka kwelikweli si mchezo waliohamasisha bei zipande huko waliko wanafurahi sana maana hata bei ya nyama inapanda sababu ya vita vya ukraine
Haya bana hewala siye mafala tunashukuru wafanyabishara endeleeni kulamba asali ,huu wakati wengu mmepewa green light gongesheni bei hadi watu waite maji MMA