Wafanyabiashara tubadilike, tusiangalie faida ya leo tu, tuangalie na kesho

Wafanyabiashara tubadilike, tusiangalie faida ya leo tu, tuangalie na kesho

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Unaenda sokoni, unakuta nanasi limewekwa pale juu, linapendeza, unalinunua, kumbe upande mmoja limeoza, muuzaji anajua lakini anakausha.

Unaenda Dukani, unanunua maziwa ya unga, kumbe yameeksipaya, mwenye Duka anajua, anakausha!

Unafika Muheza, unanunua machungwa kwenye mfuko, unafika nyumbani, nusu yameoza!

Jamani jamani, tutafika kweli?
 
"Yameexipaya"maziwa nimeipenda hii umeongea jambo kubwa natumaini watajifunza!
 
Kwani hamuangalii tarehe kwenye kopo?
Hili watanzana wengi wanunuzi hawalijui ila wafanyabiashara wanalijua. Wanatake advantage ndio maana mtoa mada naona kawaongelea hao
 
Hili watanzana wengi wanunuzi hawalijui ila wafanyabiashara wanalijua. Wanatake advantage ndio maana mtoa mada naona kawaongelea hao
Ni vizuri kuwaelimisha raia walio wengi kwa njia kama hizi za social media.
 
Wafanyabiashara wa Bongo ni watu wabinafsi Sana wao kuangalia faida tu sio kujali afya ya mteja pia ndo wapandisha bei ya vitu kiholela holela bila aibu kabisa.
 
Chalinze ninawashauri msije mkanunua vitu na mkinunua hakikisha unachunguza kwanza
 
Back
Top Bottom