Uchaguzi 2020 Wafanyabiashara uwanja wa wazi Jamhuri Dodoma wabomolewa kupisha uwanja wa kampeni

Uchaguzi 2020 Wafanyabiashara uwanja wa wazi Jamhuri Dodoma wabomolewa kupisha uwanja wa kampeni

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Licha ya kuwa na mikataba na manispaa na kufuata masharti ya mkataba ikiwemo kutojenga ofisi za kudumu na kujenga vibanda vya muda yaani temporary, wafanyabiashara kwenye uwanja wa barafu au jamhuri dodoma wamefurumushwa Katika eneo Hilo na manispaa ya jiji huku Tonga tinga likibomoa misingi na vibanda hivyo vya muda

Lengo Ni kupisha maandalizi ya ufunguzi wa kampeni za chama Cha CCM inayotarajiwa hivi karibuni pia kupisha eneo ambalo vyama mbalimbali vya siasa vitamwaga Sera zao ikiwemo CHAUMA UBWABWA na Chadema.

Haijatajwa haswa Kama watu hao watafidiwa na manispaa kwa uharibifu huu au Ni moja ya mchango wa wafanyabiashara kwa chama.
 
Kwa sababu hata vyama vingine vitafanyia hapo, hakuna shida, cha msingi walipwe haki zao hao wafanya biashara.
 
Najiuliza hivi Arusha wata fanyia wapi mikutano maana serikali ya Chama cha zamani waliuza maeneo yote ya wazi.. Hawakubakisha hata uchochoro.
 
Dodoma ni kati ya mikoa yenye wapiga kura wengi wa chama chetu, hayo ni maandalizi ya kuwajengea eneo la kisasa la kufanyia biashara.
 
Licha ya kuwa na mikataba na manispaa na kufuata masharti ya mkataba ikiwemo kutojenga ofisi za kudumu na kujenga vibanda vya muda yaani temporary, wafanyabiashara kwenye uwanja wa barafu au jamhuri dodoma wamefurumushwa Katika eneo Hilo na manispaa ya jiji huku Tonga tinga likibomoa misingi na vibanda hivyo vya muda

Lengo Ni kupisha maandalizi ya ufunguzi wa kampeni za chama Cha CCM inayotarajiwa hivi karibuni pia kupisha eneo ambalo vyama mbalimbali vya siasa vitamwaga Sera zao ikiwemo CHAUMA UBWABWA na Chadema.

Haijatajwa haswa Kama watu hao watafidiwa na manispaa kwa uharibifu huu au Ni moja ya mchango wa wafanyabiashara kwa chama.
Wacha achochee moto maana mwisho wake ni october
 
Licha ya kuwa na mikataba na manispaa na kufuata masharti ya mkataba ikiwemo kutojenga ofisi za kudumu na kujenga vibanda vya muda yaani temporary
Hapo umeshatoa jibu maana yake waliambiwa wataondoshwa siku yoyote,nilidhani Wana mikataba ya kudumu
 
Back
Top Bottom