KERO Wafanyabiashara wa bucha sio waaminifu kabisa hasa wa Mbezi kwa Msuguri, wanaibia wateja

KERO Wafanyabiashara wa bucha sio waaminifu kabisa hasa wa Mbezi kwa Msuguri, wanaibia wateja

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Toka nimehamia hapa nimeshaenda butcher zote ila kila sehemu mizani yao imechezeshwa.

Kila sehemu nilikuwa nikienda nikiona nyama pungufu nilikuwa naondoka.

Ila leo nimeenda buchani mwenye bucha kapima nyama na mzani umeanza kusoma kwenye 0.266 nikakaa kimya mpaka kafunga nyama.

Then nikamuuliza mzani wako vipi mbona umeanzia kusomea mbali. Kanirudishia hela kabisa 😁😁😁😁

Pia soma:
~
Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani
~ Waziri Jafo: Wauza nyama Buchani kuna ujanjaujanja wanaufanya kuibia Wateja kwenye mizani
~ Dar: Wafanyabiashara wawili wa bucha wakamatwa kwa kuchezesha mizani kupunja uhalali wa vipimo
 
Mtu mweusi ni mpumbavu sana muda wote anawaza wizi tu,alafu watu kama wahindi na waarabu wakifungua bucha na kuuza nyama kihalali bila wizi wataanza kwenda kwa waganga kumtafuta mchawi.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Ni sehemu nying tu iyo michezo ipo tukienda kibaha soko la liliondo zile bucha za nyama zote wamechezea mizan yake
 
Mtu mweusi ni mpumbavu sana muda wote anawaza wizi tu,alafu watu kama wahindi na waarabu wakifungua bucha na kuuza nyama kihalali bila wizi wataanza kwenda kwa waganga kumtafuta mchawi.
Hii imenikuta hasa bucha Moja upande wa kulipa ukiwa unatokea morogoro road, aisee kidogo nirudishe nyama, jamani Mwambieni huyo jamaa ameshajulikana, watalaamu wa vipimo tembeleeni hilo Bucha.
Lipo karibu na Round about kwa ndani kidogo.
 
Mabucha karibu nchi nzima wako hivyo. Nimeshawahi ishi mikoa ya Kanda ya ziwa, huko mda wote mzani unawekewa jiwe. Ukitaka kupimiwa nyama ataweka nyama kwenye mzani halafu ndio abadili kutoka jiwe lililokuwepo kwenda kwenye jiwe la kiwango cha nyama ulichohitaji.

Hili wanafanya ili usione kuwa mda wote mzani umelalalia upande wa bidhaa badala ya kuwa katika "balanced state" kabala ya kuwekwa bidhaa.
 
Biashara ndogo zote ndo style yao hio mjini.Kiberiti watakipunguzia njiti,mkate watapunguza idadi yake,sukari/unga/ watachezea mizani,kibaba Cha mafuta ya taa/ya kula watakupiga,mafuta ya alizeti watayachakachua.Ndio maisha hayo.
 
Toka nimehamia hapa nimeshaenda butcher zote ila kila sehemu mizani yao imechezeshwa.

Kila sehemu nilikuwa nikienda nikiona nyama pungufu nilikuwa naondoka.

Ila leo nimeenda buchani mwenye bucha kapima nyama na mzani umeanza kusoma kwenye 0.266 nikakaa kimya mpaka kafunga nyama.

Then nikamuuliza mzani wako vipi mbona umeanzia kusomea mbali. Kanirudishia hela kabisa 😁😁😁😁

Pia soma:
~
Wauzaji wa nyama Mbezi Beach kuna michezo wanafanya kwenye mizani
~ Waziri Jafo: Wauza nyama Buchani kuna ujanjaujanja wanaufanya kuibia Wateja kwenye mizani
Sio wao tuu hata wauza utumbo nao wakikaa dakika 2 wanaudisha kwenye maji wanautoa wananing'iniza ukienda nunua kilo baada ya mda ukipima tena umeuziwa nusu😆😆
 
Biashara ndogo zote ndo style yao hio mjini.Kiberiti watakipunguzia njiti,mkate watapunguza idadi yake,sukari/unga/ watachezea mizani,kibaba Cha mafuta ya taa/ya kula watakupiga,mafuta ya alizeti watayachakachua.Ndio maisha hayo.
Solution ni middle class iendelee sana kiuchumi kiasi tuanze kuwa na malls na supermarket tu.
Hivi ulaya au North America Kuna viduka vya mangi????
 
Back
Top Bottom