Wafanyabiashara wa Dar to South

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,384
habari wakuu kwa wenye uzoefu wa kufanya biasha tzee to south nisaidieni info za NAULI za mabasi kutoka dar to zimbabwe thn zimbabwe to SA,or dar to lusaka thn lusaka to SA, tufunguane tafadhali ili nami nianze tumia njia hiyo mapema mwaka huu, or pia tofauti ya nauli ya ndege na basi to johannesburg.
 
Bora uendelee kukusanya hela upande ndege tuu, basi utatumia wikinzima njiani usumbufu mwingine usio nakipimo
 

Mkuu bora utumie ndege, mimi natumia sana njia hii ya barabara Dar-Jburg lakini inachosa sana na natumia siku 4 njiani. Kuna ma bus ya Taqwa na Falcon dar-harare lakini haya magari sio mazuri maana wakati wa mvua yanavuja kwa ndani. Ili usichoke sana na upande ma bus mazuzi chukua bus dar-tunduma nauli Sh40000, lala pale guest nzuri 25000 kesho yake mchana panda bus pale Nakonde-Lusaka nauli ni 200zmk kama sh50000 hivi utafika Lusaka alfajiri chukua guest unapata ya kawaida kwa 150zmk kama Sh 35000, kesho yake chukua bus Lusaka-Jburg kwa 425zmk ni kama sh130000 hivi. Pamoja na chakula siku zote hizo na matumizi mengine ya hapa na pale unajikuta umetumia karibu 350000tsh. Ukifika jburg uko hoi.
 
acheni kukatisha watu tamaa,binafs nimesafiri moja kwa moja kutoka dar mpaka harare kwa sh 120,000 na kutoka harare mpaka joberg kwa randi 300.zaid ya mara tano kwa taqwa,pia nimeunga unga dar tunduma sh 40,000 mpakan unatoa naul ya nn.tunduma na nakonde unatoa naul ipi.pia gest mpaka ten zipo kama hutaki makuu,nakonde mpaka harare unaweza kupata gari mpaka ya 90,000.harare mpaka joberg zipo gari hadi rand 250 japo znachelewa kufika,ukitaka gari nzur kama inter cape ndio kuanzia rand mia tatu.kuhusu ndege niliwah kupata mpaka 380,000 kwa one way dar joberg japo ni 2013(pricision) ni kweli gari inachosha lakin ni badget oriented.
 
thanks wakuu mmenifungua kwa namna moja ama nyingine
hapo ni choice yangu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…