Wafanyabiashara wa Kariakoo, hamieni maeneo haya ambapo hakuna usumbufu na utajiri uko nje nje

Wafanyabiashara wa Kariakoo, hamieni maeneo haya ambapo hakuna usumbufu na utajiri uko nje nje

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Hii nawapa msisitizo japo najua mnafahamu.

Kuliko kuendelea kunyanyasika nawasihi sana hamieni maeneo kama Lubumbashi, Juba, Kampala, Lilongwe, Blantaire, Kisangani na Goma.

Huko waliostuka mapema walishawapita pesa kitambo wamejificha huko na biashara zote zinazofanyika hapo kariakoo ndio hata maeneo hayo zinafanyika.

Hakuna sababu ya kulazimisha kukaa sehemu moja yenye ugumu wakati dunia ina uwanja mpana na fursa zipo kila sehemu.

Hamisha biashara kimyakimya huko ni miaka yako mitatu au minne utajuta kwa nini haukuhama mapema.
 
Hii nawapa msisitizo japo najua mnafahamu.

Kuliko kuendelea kunyanyasika nawasihi sana hamieni maeneo kama Lubumbashi, Juba, Kampala, Lilongwe, Blantaire, Kisangani na Goma.

Huko waliostuka mapema walishawapita pesa kitambo wamejificha huko na biashara zote zinazofanyika hapo kariakoo ndio hata maeneo hayo zinafanyika.

Hakuna sababu ya kulazimisha kukaa sehemu moja yenye ugumu wakati dunia ina uwanja mpana na fursa zipo kila sehemu.

Hamisha biashara kimyakimya huko ni miaka yako mitatu au minne utajuta kwa nini haukuhama mapema.
Lubumbashi... Hiyo sehem watu waishike sana. Mji wenye biashara kongo
 
Back
Top Bottom