Wafanyabiashara wa Kariakoo mmetudharau sana CCM, mnalisema hadi banda alilomo Waziri Mkuu?

Wafanyabiashara wa Kariakoo mmetudharau sana CCM, mnalisema hadi banda alilomo Waziri Mkuu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkutano wa aina hii kiukweli mara ya mwisho niliushuhudia Wakati wa Hayati Sokoine.

Waziri mkuu anatoa nafasi kwa Watu zaidi ya 50 kuuliza maswali na kutoa maoni.

Nashauri Wabunge wote Kuanzia sasa waige mfumo huu wa kuwasikiliza Wananchi Wengi zaidi.

Mungu mbariki sana Waziri mkuu.
 
Back
Top Bottom