KERO Wafanyabiashara wa mabati kuwadanganya wateja kuhusu gauge

KERO Wafanyabiashara wa mabati kuwadanganya wateja kuhusu gauge

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kuna wafanyabiashara hasa wa Turiani (Madizini) Morogoro wanawauzia watu wasiojua bati za gauge 32, wakiwaambia ni 30 gauge.

Na hawataki urudishe mzigo hata ukigundua kuwa bati hizo ni fake. Wanaibiwa sana wale wasiojua. Je, kwanini bidhaa iuzwe Kwa udanganyifu.? Kwanini mteja haambiwi ukweli Ili achague mwenyewe?
 
ukipata muda tupe utofauti wa ubora wa hizo gauge ili tusiendelee kuibiwa na hao wafanya biashara 🙏
 
Hebu tupe majina la hao wafanyabiashara ili tuwaibukie, Ni sungo, shayo, kise au matemba au ni wote kwa pamoja
 
Kuna wafanyabiashara hasa wa Turiani (Madizini) Morogoro wanawauzia watu wasiojua bati za gauge 32, wakiwaambia ni 30 gauge.

Na hawataki urudishe mzigo hata ukigundua kuwa bati hizo ni fake. Wanaibiwa sana wale wasiojua. Je, kwanini bidhaa iuzwe Kwa udanganyifu.? Kwanini mteja haambiwi ukweli Ili achague mwenyewe?
Hii inaanzia viwandani, fanya utafiti mdogo, kachukue batila gauge 30 la mwaka 1980, linganisha na bati la gauge hiyohiyo la leo utajifunza kuwa futi moja ya 1980 inabadilika siku zinavyosogea mbele
 
Kuna wafanyabiashara hasa wa Turiani (Madizini) Morogoro wanawauzia watu wasiojua bati za gauge 32, wakiwaambia ni 30 gauge.

Na hawataki urudishe mzigo hata ukigundua kuwa bati hizo ni fake. Wanaibiwa sana wale wasiojua. Je, kwanini bidhaa iuzwe Kwa udanganyifu.? Kwanini mteja haambiwi ukweli Ili achague mwenyewe?
Dawa ni kwenda kwa mawakala wa hizo kampuni akikudanganya unadeal na mwenye kiwanda au kampuni.
 
Tatizo ni TBS wenyewe tu kiongozi. Tanganyika ya CHURA nimwendo wa ufisadi.
Tatizo liko kwenye viwanda nao wanafanya ivyo sana.




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom