Inabidi washurutishwe maana kwa kubembelezana hii nchi ni ngumu😅Ifike sehemu tuache ujinga viongozi wote wahudumiwe kwa pesa zao kama walivyo watumishi wengine maana wao maumivu hawayajui hata kidogo
Wanadai inakuwa imported from abroad! Sio ya nchini ile gas.Iyo gas ya majumbani tu bei imeshindikana kuwa rafiki ndio ije kwa vitu vya anasa kama gari
Kwanini mshahara wa Rais usikatwe kodi kuonyesha uzalendo kwa vitendo na akaishi kwenye nyumba yake?Inabidi washurutishwe maana kwa kubembelezana hii nchi ni ngumu😅
Hahhahahah watadai ni kinyume na katibaKwanini mshahara wa Rais usikatwe kodi kuonyesha uzalendo kwa vitendo na akaishi kwenye nyumba yake?
Ukweli ndio huo, ila wnasiasa wetu kila kukicha wanatoa false hopes kuwa "Rais Samia amesema atapunguza bei ya mafuta" kwa kuwaongopea watanzania ili ijulikane kuwa Rais Samia ni yeye tu anatatua kila tatizo.Tanzania haina visima wala refinery, mafuta yamepanda kila sehemu duniani
Hakuna uzalendo zaidi ya wizi wa fedha za umma.O
Hahhahahah watadai ni kinyume na katiba
Wenzako wanawaza 2025 hakuna kingine kuendelea kupiga pesa za umma kwa kisingizio cha kutumikia wananchiUkweli ndio huo, ila wnasiasa wetu kila kukicha wanatoa false hopes kuwa "Rais Samia amesema atapunguza bei ya mafuta" kwa kuwaongopea watanzania ili ijuliaken kuwa Rais Samie ni yeye tu anatatua kila tatizo.
Dawa ni kupiga chibi huyu mama 2025 hadi waone aibu kuiba kuraInabidi washurutishwe maana kwa kubembelezana hii nchi ni ngumu[emoji28]
This is what they hated Magufuli for! Alijua njia zao kisha akapachika gunzi katika kila tobo njaa ilivyokithiri wakaanza kumletea upuuzi! Wanamtukana sana yani😅Hakuna uzalendo zaidi ya wizi wa fedha za umma.
Kweli mkuuThis is what they hated Magufuli for! Alijua njia zao kisha akapachika gunzi katika kila tobo njaa ilivyokithiri wakaanza kumletea upuuzi! Wanamtukana sana yani😅
Sahizi mama kaachia wajipigie hela kila mtu sahizi amegeuka mpambe nuksi. Eti mama anaupiga mwingi
Ndio. mkiambiwa tunahitaji taasisi madhubuti kulinda maslahi ya umma muwe mnaelewa,Katika kinachoonekana kuwa ni survival of the fittest beii ya mafuta ya gari /petrol imezidi kupanda na kufika tsh 2510 kwa lita moja mwezi huu. Unapotoa tsh 20,000 unapata lita 7.9, kitu ambacho ni kuendelea kumuumiza Mtanzania huyu wa kipato cha chini maana yeye ndiye atakayekuja umia katika suala la upandaji wa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na usafiri kwa ujumla.
Hawa wabunge, mawaziri na viongozi wa kiserikali hawatalalamika maana wanatumia kodi zetu katika kuhudumia hayo magari. Kwa wao hata lita moja ikiuzwa tsh 5,000 hawaathiriki sababu ofisi inawajazia magari yao ma V8 full tank na maisha yanaendelea. haya ndiyo maisha tuliyoyachagua.
Jamaa yangu mmoja amenipigia simu leo akinambia huku akicheka," nilikwambia mafuta lazima yapande maana kuna pesa nyingi tulipoteza kipindi kile"
Serikali imewasahau wananchi wanyonge watu wanaendelea kujipigia kila kinachowezekana kwa nafasi zao.
Bei ya mafuta hapa Sweden ni kronor 17 sawa na shillingi 4300 za Tanzania.Bei ipo juu duniani. Nimesikia US wanataka kuachia ya kwenye hazina yao ili kushusha bei.
Upo sahihi kabisa... Jamaa walikuwa wanamchukia sana. Sasa wanafurahi sana kwa sababu wamepewa nafasi ya kula.This is what they hated Magufuli for! Alijua njia zao kisha akapachika gunzi katika kila tobo njaa ilivyokithiri wakaanza kumletea upuuzi! Wanamtukana sana yani😅
Sahizi mama kaachia wajipigie hela kila mtu sahizi amegeuka mpambe nuksi. Eti mama anaupiga mwingi
Nchi hii inabidi utumike ubabe.... Bila hivyo haiendi. Anatakiwa Rais kama alivyokuwa Magufuli. Kuna watu wameweka miziz kwenye wizi wa mali ya umma na kuibia wananchi maskini.Inabidi washurutishwe maana kwa kubembelezana hii nchi ni ngumu😅
Sahizi anasifiwa hata kwa kusafiri hovyo, wanyonge kazi tunayo wafanyabiashara bei wanajipangia watakavyo! Hamna mwenye habari tena na nyie mnaoteseka mtaani!Upo sahihi kabisa... Jamaa walikuwa wanamchukia sana. Sasa wanafurahi sana kwa sababu wamepewa nafasi ya kula.
Ubabe ndio namna pekee ya kuongoza taifa hili sababu watu wengi wapo kimaslahi yani ukijipindua unapigwa! Magu alijitahidi kuwabana japo kwa 70% ila still 30% waliobaki walikuwa wanapiga!Nchi hii inabidi utumike ubabe.... Bila hivyo haiendi. Anatakiwa Rais kama alivyokuwa Magufuli. Kuna watu wameweka miziz kwenye wizi wa mali ya umma na kuibia wananchi maskini.
Akirudi wanampangia safari nyingine tena...akirudi hajakaa sawa anapigwa safari nyingine. Ili wao wabaki wanaibia wananchi maskini. Wafanyabiashara wezi wanafurahi kwa sasa wanasema wanacheza na bei watakavyo. Hakuna wa kuwasumbua. Wanakubaliana na watu kadhaa kila mtu anachukia kamisheni yake...maisha yanaendelea.Sahizi anasifiwa hata kwa kusafiri hovyo, wanyonge kazi tunayo wafanyabiashara bei wanajipangia watakavyo! Hamna mwenye habari tena na nyie mnaoteseka mtaani!
Watu wanakusanya per diem zao na kunyofoa mamilion kadri wawezavyo mama yupo angani anazunguka dunia!