Wafanyabiashara wanaouza sukari kinyume na bei elekezi wakamatwa.

SheriaE

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
606
Reaction score
447
Kamishna wa operesheni na mafunzo CP Liberatus Sabas amesema Jeshi la Polisi linashirikiana na mamlaka nyingine kufanya operesheni ya kuwakamata wafanyabiashara wanaouza sukari kinyume na bei elekezi ya serikali, ambapo tayari wafanyabiashara 36 wamekamatwa katika mikoa sita na tani 106,939 za sukari zimekamatwa.

Chanzo: ITV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…