jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Kamwe kama Taifa tusijaribu kuentartain upuuzi wa kukwepa au kutolipa kodi. Mhe. Rais Samia amelegeza masharti ya ufuatiliaji wa ulipaji kodi kwa kundi hili ili kuondoa manung'uniko yaliyotokea katika awamu ya Magufuli.
Wengi wa wafanyabiashara walilalamikia mfumo wa ukusanyaji wa kodi kwamba ulikuwa ni wa kibabe sana ...mama Samia akaleta maridhiano na akaenda mbali hadi kusamehe madeni halali ya ukwepaji kodi miaka ya nyuma. Inashangaza kuona wafanyabiashara hawa hawa wanaleta kibesi /ubabe hadi kuendesha migomo.
Wito kwa Serikali: Kodi ni takwa la kisheria kwa kila mtu/kada au sekta na hakuna nchi inayochekea watu wake kulipa kodi halali zilizopitishwa bungeni.
Kodi lazima ikusanywe... hakuna upendo kwenye kukusanya kodi.
Kwa leo niishie hapa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Wengi wa wafanyabiashara walilalamikia mfumo wa ukusanyaji wa kodi kwamba ulikuwa ni wa kibabe sana ...mama Samia akaleta maridhiano na akaenda mbali hadi kusamehe madeni halali ya ukwepaji kodi miaka ya nyuma. Inashangaza kuona wafanyabiashara hawa hawa wanaleta kibesi /ubabe hadi kuendesha migomo.
Wito kwa Serikali: Kodi ni takwa la kisheria kwa kila mtu/kada au sekta na hakuna nchi inayochekea watu wake kulipa kodi halali zilizopitishwa bungeni.
Kodi lazima ikusanywe... hakuna upendo kwenye kukusanya kodi.
Kwa leo niishie hapa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!