Wafanyabiashara wengi Tanzania walihamisha mitaji yao toka 2016 nini sababu?

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu.

Nimepata kubadilishana mawazo na wafanyabiashara wakubwa , wengi wao wanaelezea jinsi walivyohamisha mitaji yao na kutoa pesa kwenye mzunguko nchini,
Na mitaji yao wameipeleka mataifa mengine ya Afrika au Bara Asia sasa najiuliza sababu kuu ni nini?
 
Kuna kitu wanasema " projections and anticipations".
Kifupi MTU anapima na kubashiri kwa kutumia uzoefu kuhusu kinachoweza kutokea ktk muktadha fulani. Kwa wafanya biashara wazoefu wsliona viashiria hatari wakachukua tahadhari.
Rekodi za jamaa si za kuvutia watu na mitaji makini. Hatabiriki!
Tusubiri 2019 tutaona/tatasikia vibweka na vituko juu na uchumi na mwangwi wa utawala wa awamu ya 5 ktk kutafuta uhalali wa kuongezewa muhula wa 2 kupanga Ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…