Wafanyabiashara wengi wa online ni akili mbovu

Wafanyabiashara wengi wa online ni akili mbovu

Forrest Gump

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
637
Reaction score
1,532
Unakuta jitu unalitafuta hewani ili likueleze kwa upana kuhusu bidhaa fulani lakini linaongea kama halitaki na kama unalisumbua.

Kwenye chatting ndio usiseme, meseji unakuta inakaa bila kujibiwa, hadi tena umshitue, ukimshitua anakuambia atakutafuta baada ya hapo ndio mazima.

Hakuna cha ubize pimbi nyie, ni dharau tu ndio mlizonazo kwa kuwa vibiashara vimewapa vipesa vya kula na kupendeza sasa mnaona sio big deal kuchangamkia mteja.

Kumbuka mlipokuwa hamna mitaji mnakaa kwa shemeji zenu, pale mlivyokuwa na ndoto na molali kuchangamkia wateja na kutokuacha pesa hata shilingi mia.

Yani unakuta mtu unampa fursa ya kumuongezea kipato ila yeye anakuchukulia niaje niaje, na siku zote hakuna mteja asiependa kudekezwa, kwa maana siku zote mteja ni mchanguzi lazima atakusumbua tu kwa maswali then atakuchangia.

Bei zenyewe hamuweki, description ya kitu (size, weight etc ) hamuweki, sasa unategemea nini kama sio kupigiwa na kuulizwa maswali.

Tuache uswahili uswahili, dunia imebadilika.
 
Unakuta jitu unalitafuta hewani ili likueleze kwa upana kuhusu bidhaa fulani lakini linaongea kama halitaki na kama unalisumbua.

Kwenye chatting ndio usiseme, meseji unakuta inakaa bila kujibiwa, hadi tena umshitue, ukimshitua anakuambia atakutafuta baada ya hapo ndio mazima.

Hakuna cha ubize pimbi nyie, ni dharau tu ndio mlizonazo kwa kuwa vibiashara vimewapa vipesa vya kula na kupendeza sasa mnaona sio big deal kuchangamkia mteja.

Kumbuka mlipokuwa hamna mitaji mnakaa kwa shemeji zenu, pale mlivyokuwa na ndoto na molali kuchangamkia wateja na kutokuacha pesa hata shilingi mia.

Yani unakuta mtu unampa fursa ya kumuongezea kipato ila yeye anakuchukulia niaje niaje, na siku zote hakuna mteja asiependa kudekezwa, kwa maana siku zote mteja ni mchanguzi lazima atakusumbua tu kwa maswali then atakuchangia.

Bei zenyewe hamuweki, description ya kitu (size, weight etc ) hamuweki, sasa unategemea nini kama sio kupigiwa na kuulizwa maswali.

Tuache uswahili uswahili, dunia imebadilika.
Pitia kwenye uzi huu
 
Unakuta jitu unalitafuta hewani ili likueleze kwa upana kuhusu bidhaa fulani lakini linaongea kama halitaki na kama yeye anakuchukulia niaje niaje, na siku zote hakuna mteja asiependa kudekezwa, kwa maana siku zote mteja ni mchanguzi lazima atakusumbua tu kwa maswali then atakuchangia.

Bei zenyewe hamuweki, description ya kitu (size, weight etc ) hamuweki, sasa unategemea nini kama sio kupigiwa na kuulizwa maswali.

Tuache uswahili uswahili, dunia imebadilika.
Unajua sahv Biashara zinatoka Sana so ndo maana wateja wanachukuliwa poa
 
Wengi ambao hawaweki bei ni ma winga anacheki bei ya mwenye bidhaa alafu yeye anaweka bila bei ukiingia timing anakupa bei cha juu. Na ukiona hakujibu haraka ujue anaangaika kuulizia bei yeye hana mzigo yuko tu na simu yake kijiweni
 
Unakuta jitu unalitafuta hewani ili likueleze kwa upana kuhusu bidhaa fulani lakini linaongea kama halitaki na kama unalisumbua.

Kwenye chatting ndio usiseme, meseji unakuta inakaa bila kujibiwa, hadi tena umshitue, ukimshitua anakuambia atakutafuta
Kama wewe ndio customer na hizi ndio kauli huenda wanaepusha shari
 
Kwa ufupi tu
Wengi wao huwa ni matapeli na matapeli siku zote hakubali mazungumzo marefu kwake hofu ndio imani yake.

Wengi ni wezi na wahuni ,kitu anakuambia in free delivery lakini anataka malipo kabla ya kukuletea mzigo.

Usiamini sana zile chat wanazoweka na kusema mzigo umetumwa kwa mteja na umefika salama. Ni wao wenyewe ndio huwa wanajichatisha.

Hata siku moja hakupi location sahihi ya biashara yake na ukimchimba sana kujua anapotelea hewani bila trace.
 
Kwa ufupi tu
Wengi wao huwa ni matapeli na matapeli siku zote hakubali mazungumzo marefu kwake hofu ndio imani yake.

Wengi ni wezi na wahuni ,kitu anakuambia in free delivery lakini anataka malipo kabla ya kukuletea mzigo.

Usiamini sana zile chat wanazoweka na kusema mzigo umetumwa kwa mteja na umefika salama. Ni wao wenyewe ndio huwa wanajichatisha.

Hata siku moja hakupi location sahihi ya biashara yake na ukimchimba sana kujua anapotelea hewani bila trace.
Na ukikuta amelimit comment 🙁😁😋🤗 yaan kimbia kama ukoma , electronics wengi wapo Zanzibar , na kwenye fabric hasa mashuka na mapazia
 
Back
Top Bottom