BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Mimi nnapiga mishe ya duka la vitu mahtaji mbalimbali ya nyumban na vinywaji na vinginevyo
Nilipanga kutopumzika ili kukuuza mtaji wangu...na biashara ikue zaidi(hapa n kipindi biashara ipo chini mno mpaka watu wakatabiri kufungwa kwa duka)
Now biashara imesimama...hela napata nyingi tu...na mzunguko kwakweli n mkubwa saana japo kna maduka mengne ma3 ila watu wananipenda na wamenizoea saana maana huduma nyingi na bidhaa nyingi nnazo
Lakini pia n kwakuwa maduka jiran mda mwingi hawapo madukan...so mteja anasubiri mda mref....plus pia wengi n wanawake(nadhn mwajua akikaa mwanamke dukan inakuaje kwa wanawake wenzie)
Sasa kwakweli nachoka mnoo....kuna mda mpk kichwa kinauma....mgongo wauma pia...!!nahic n kwakuwa sipati mda wa kupumzika n napata mda mdogo wa kulala
Kuna siku nilifunga duka nkapumzika siku nzima...simu zilipigwa...!!meseji zilitumwa na wateja weengi.....mpaka roho iliniuma hela zilizonipita....na hata nlpofungua kesho yake walinisema sana kwa kuwahangaisha
Naomba msaada kwa wafanyabiashara wenzangu....nifanyaje ili nipate mda wa kulala na kupumzika....mbinu gani mnatumia wenzangu??...maana kwakweli kuwakera wateja zangu cpendi...!!msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipanga kutopumzika ili kukuuza mtaji wangu...na biashara ikue zaidi(hapa n kipindi biashara ipo chini mno mpaka watu wakatabiri kufungwa kwa duka)
Now biashara imesimama...hela napata nyingi tu...na mzunguko kwakweli n mkubwa saana japo kna maduka mengne ma3 ila watu wananipenda na wamenizoea saana maana huduma nyingi na bidhaa nyingi nnazo
Lakini pia n kwakuwa maduka jiran mda mwingi hawapo madukan...so mteja anasubiri mda mref....plus pia wengi n wanawake(nadhn mwajua akikaa mwanamke dukan inakuaje kwa wanawake wenzie)
Sasa kwakweli nachoka mnoo....kuna mda mpk kichwa kinauma....mgongo wauma pia...!!nahic n kwakuwa sipati mda wa kupumzika n napata mda mdogo wa kulala
Kuna siku nilifunga duka nkapumzika siku nzima...simu zilipigwa...!!meseji zilitumwa na wateja weengi.....mpaka roho iliniuma hela zilizonipita....na hata nlpofungua kesho yake walinisema sana kwa kuwahangaisha
Naomba msaada kwa wafanyabiashara wenzangu....nifanyaje ili nipate mda wa kulala na kupumzika....mbinu gani mnatumia wenzangu??...maana kwakweli kuwakera wateja zangu cpendi...!!msaada
Sent using Jamii Forums mobile app