Hakuna mfanyabiashara yeyote Duniani na haswa kwa Nchi za Afrika anayependa kulipa Kodi, wengi wao huwa wanatafuta mianya ya kukwepa kulipa Kodi.
Wafanyabiashara wengi wanatafuta faida zaidi kwa njia yoyote ile.
Hivyo kujadiliana kuwa Kodi hii ilipwe ama isilipwe ni sawa na nyani kulinda shamba la mahindi!
Jambo la msingi Serikali iweke utaratibu mzuri wa kulipa Kodi na sio Kodi kufutwa, hakuna nchi inayo weza kuendeshwa bila Kodi.
Ku negotiate namna ya kulipa Kodi ni sawa na kutaka kuhujumu uchumi wa nchi.
Kodi ni ya wananchi wenyewe sio ya Serikali.
Ukiruhusu kujadili Kodi flani isilipwe nyingine ilipwe ni jambo la hatari sana......lenye nia na lengo la kuhujumu uchumi wa nchi.
Serikali Ina onyesha uungwana lakini wafanyabiashara sio waungwana. Wanacho taka wao ni Kukwepa Kodi.
Wafanyabiashara wengi wanatafuta faida zaidi kwa njia yoyote ile.
Hivyo kujadiliana kuwa Kodi hii ilipwe ama isilipwe ni sawa na nyani kulinda shamba la mahindi!
Jambo la msingi Serikali iweke utaratibu mzuri wa kulipa Kodi na sio Kodi kufutwa, hakuna nchi inayo weza kuendeshwa bila Kodi.
Ku negotiate namna ya kulipa Kodi ni sawa na kutaka kuhujumu uchumi wa nchi.
Kodi ni ya wananchi wenyewe sio ya Serikali.
Ukiruhusu kujadili Kodi flani isilipwe nyingine ilipwe ni jambo la hatari sana......lenye nia na lengo la kuhujumu uchumi wa nchi.
Serikali Ina onyesha uungwana lakini wafanyabiashara sio waungwana. Wanacho taka wao ni Kukwepa Kodi.