Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Hufanyi biadhara ndo maana unaongea kishabikiKodi lazima ilipwe ila mifumo iwekewe utaratibu unao eleweka. Lkn kama unadaiwa Kodi halali hakuna jinsi zaidi ya kulipa.
Kuna mama mmoja mfanyabiashara eti anadai kwa waziri Mkuu alipe Kodi anayo itaka yeye!!!!
Haiwezekani, lazima Kodi ilipwe
Ndiyo misemo ya mafisadi, wafanyabiashara wameishaizoea.Maduka yote kkoo yamefunguliwa na watu wanapiga mishemishe.
Biashara lazima zifanyike na Kodi ya Serikali lazima ilipwe Hilo sio hiari.
Hakuna nchi yoyote Duniani inayo endeahwa bila Kodi ila watanzania ndio wanataka wafanye biashara bila kulipa Kodi!!! Maajabu haya!!!
Kama unataka kufanya biashara basi jua Kodi ni lazima kama hutaki nenda ukafanye kazi zingine.
Ndiyo misemo ya mafisadi, wafanyabiashara wameishaizoea.
Anzisha na wewe Biashara ulipe mikodi na kudhulumiwaHakuna mfanyabiashara yeyote Duniani na haswa kwa Nchi za Afrika anayependa kulipa Kodi, wengi wao huwa wanatafuta mianya ya kukwepa kulipa Kodi.
Wafanyabiashara wengi wanatafuta faida zaidi kwa njia yoyote ile.
Hivyo kujadiliana kuwa Kodi hii ilipwe ama isilipwe ni sawa na nyani kulinda shamba la mahindi!
Jambo la msingi Serikali iweke utaratibu mzuri wa kulipa Kodi na sio Kodi kufutwa, hakuna nchi inayo weza kuendeshwa bila Kodi.
Ku negotiate namna ya kulipa Kodi ni sawa na kutaka kuhujumu uchumi wa nchi.
Kodi ni ya wananchi wenyewe sio ya Serikali.
Ukiruhusu kujadili Kodi flani isilipwe nyingine ilipwe ni jambo la hatari sana......lenye nia na lengo la kuhujumu uchumi wa nchi.
Serikali Ina onyesha uungwana lakini wafanyabiashara sio waungwana. Wanacho taka wao ni Kukwepa Kodi.
Mimi ni mfanyabiashara nauza redio kkoo mtaa wa mhonda, nasema kweli kuwa wafanyabiashara tuache unafiki, tulipe Kodi halali ya Serikali.Anzisha na wewe Biashara ulipe mikodi na kudhulumiwa
Basi utakua mmachinga nauhakika huna duka kama ungekua na duka usingeongea hayaMimi ni mfanyabiashara nauza redio kkoo mtaa wa mhonda, nasema kweli kuwa wafanyabiashara tuache unafiki, tulipe Kodi halali ya Serikali.
Ila utaratibu wa kukusanya Kodi uwekwe imara na madhubuti.
Pia wafanyabiashara tuache tabia ya kutoa rushwa ili kukwepa Kodi, sisi ndio tunachochea vurugu za maafisa wa tra
[emoji1787]Mimi ni mfanyabiashara nauza redio kkoo mtaa wa mhonda, nasema kweli kuwa wafanyabiashara tuache unafiki, tulipe Kodi halali ya Serikali.
Ila utaratibu wa kukusanya Kodi uwekwe imara na madhubuti.
Pia wafanyabiashara tuache tabia ya kutoa rushwa ili kukwepa Kodi, sisi ndio tunachochea vurugu za maafisa wa tra
tangu asubuhi Hadi sasa jioni nipo nauza redio hapa mtaa wa mhonda, binafsi siwezi kufuata mkubo wa wafanyabiashara wakubwa ambao wanamiliki maduka kila Kona, Wana uhakika wa kula, Mimi duka langu ni moja tu lazima nipambane.Acha upngo kwa kusema maduka yote yanefunguliwa nenda kule kwenye nguo uone kana wamefungua
Karibu nipo hapa nuza redio kwa Bei ya jumla, Nina duka langu hapa.Basi utakua mmachinga nauhakika huna duka kama ungekua na duka usingeongea haya
Wewe unajua kuliko walioafiki baadhi ya vipengele vina mapungufu? Hii unayozungumzia ni either hujui au chukiHakuna mfanyabiashara yeyote Duniani na haswa kwa Nchi za Afrika anayependa kulipa Kodi, wengi wao huwa wanatafuta mianya ya kukwepa kulipa Kodi.
Wafanyabiashara wengi wanatafuta faida zaidi kwa njia yoyote ile.
Hivyo kujadiliana kuwa Kodi hii ilipwe ama isilipwe ni sawa na nyani kulinda shamba la mahindi!
Jambo la msingi Serikali iweke utaratibu mzuri wa kulipa Kodi na sio Kodi kufutwa, hakuna nchi inayo weza kuendeshwa bila Kodi.
Ku negotiate namna ya kulipa Kodi ni sawa na kutaka kuhujumu uchumi wa nchi.
Kodi ni ya wananchi wenyewe sio ya Serikali.
Ukiruhusu kujadili Kodi flani isilipwe nyingine ilipwe ni jambo la hatari sana......lenye nia na lengo la kuhujumu uchumi wa nchi.
Serikali Ina onyesha uungwana lakini wafanyabiashara sio waungwana. Wanacho taka wao ni Kukwepa Kodi.
Kinachogombwa ni kukadiriwa kodi kubwa na kupunguzwa Kwa njia ya rushwa na vitishoKodi lazima ilipwe ila mifumo iwekewe utaratibu unao eleweka. Lkn kama unadaiwa Kodi halali hakuna jinsi zaidi ya kulipa.
Kuna mama mmoja mfanyabiashara eti anadai kwa waziri Mkuu alipe Kodi anayo itaka yeye!!!!
Haiwezekani, lazima Kodi ilipwe
Kama wewe si mTRA basi ni mnufaika wa ufisadi na kodi kandamizi kede kede zinazoumiza wafanya biashara na kupelekea kupaisha bei za bidhaa nchini.Hakuna mfanyabiashara yeyote Duniani na haswa kwa Nchi za Afrika anayependa kulipa Kodi, wengi wao huwa wanatafuta mianya ya kukwepa kulipa Kodi.
Wafanyabiashara wengi wanatafuta faida zaidi kwa njia yoyote ile.
Hivyo kujadiliana kuwa Kodi hii ilipwe ama isilipwe ni sawa na nyani kulinda shamba la mahindi!
Jambo la msingi Serikali iweke utaratibu mzuri wa kulipa Kodi na sio Kodi kufutwa, hakuna nchi inayo weza kuendeshwa bila Kodi.
Ku negotiate namna ya kulipa Kodi ni sawa na kutaka kuhujumu uchumi wa nchi.
Kodi ni ya wananchi wenyewe sio ya Serikali.
Ukiruhusu kujadili Kodi flani isilipwe nyingine ilipwe ni jambo la hatari sana......lenye nia na lengo la kuhujumu uchumi wa nchi.
Serikali Ina onyesha uungwana lakini wafanyabiashara sio waungwana. Wanacho taka wao ni Kukwepa Kodi.