mchagger
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 864
- 1,064
Binafsi namkumbuka sana Kikwete nilipiga hela sana enzi zile hata alivyoingia Magufuli mpaka kufikia 2017 mambo yalikuwa yanaenda safi ila kuanzia mwaka Jana 2018 dah kila siku zinavyoenda mambo yanaenda mrama mzee anakaba sana hii hali ni kwangu tu wanajamvi au?