Wewe ni mchaga ujue ndio sababu. Mzee baba katuambia wachaga mlikuwa wapigaji eti
Binafsi namkumbuka sana Mh kikwete nilipiga hela sana enzi zile hata alivyoingia Magufuli mpaka kufikia 2017 mambo yalikua yanaenda safi ila kuanzia mwaka Jana 2018 dah kila siku zinavyoenda mambo yanaenda mrama mzee anakaba sana hii hali ni kwangu tu wanajamvi au???
Unafanya biashara gani kwanza mkuu?Wala sio mpigaji nafanya biashara kihalali na kodi za Mzee zote nalipia kila mwaka ila pesa nayopata ni yakula tu huu mwaka Wa pili nachojivunia ni kununua sabufa basi
Daah ila naona wadau siku hizi wanalalamikia hata Voda wanazingua kamisheni sio kama zamani,kuna ukweli boss?Electronic money transfer kaka
Awamu hii ni kudeal na bidhaa za chakula tuNi ngumu kisela consumers confident imeshuka sana..
Binafsi namkumbuka sana Kikwete nilipiga hela sana enzi zile hata alivyoingia Magufuli mpaka kufikia 2017 mambo yalikuwa yanaenda safi ila kuanzia mwaka Jana 2018 dah kila siku zinavyoenda mambo yanaenda mrama mzee anakaba sana hii hali ni kwangu tu wanajamvi au?
Hivi hamna namna nyingine ya shortcut,.. Maana duuh tukisubiri mpk aondoke itakua wengi wamekufa... Tuwaze kingine labdaMkuu chamuhimu unapata hela ya kula intosha kwa sasa tunapiga dormant tu, tuombee jamaa aondoke.
Labda akiondoka atakaye kuja atajifunza.