KERO Wafanyakazi CHODAWU hawajalipwa mshahara tangu Oktoba 2021

KERO Wafanyakazi CHODAWU hawajalipwa mshahara tangu Oktoba 2021

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari,

Wafanyakazi wa Chama cha Wafanyakazi wa Majumbani, hifadhi, hotelini, huduma za jamii na ushauri (CHODAWU) hawajalipwa mshahara tangu October 2021.

Wafanyakazi wana wakati mgumu sana wa maisha. Watu wamefika umri wa kustaafu ila wamebaki ofisini kwa sababu hawajalipwa mshahara na pesa hazijawekwa NSSF.

KM wao ni Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha TUCTA hawezi ku-feel the pinch kwa sababu kila mwezi anakula mshahara wake TUCTA huku wafanyakazi wake wanateseka.

Ofisi inaendesha miradi yake ila haiwalipi wafanyakazi sio sawa.

Naomba upaze sauti kusaidia wanyonge hawa wasiokuwa na pa kuzungumzia.
 
Habari,

Wafanyakazi wa Chama cha Wafanyakazi wa Majumbani, hifadhi, hotelini, huduma za jamii na ushauri (CHODAWU) hawajalipwa mshahara tangu October 2021.

Wafanyakazi wana wakati mgumu sana wa maisha. Watu wamefika umri wa kustaafu ila wamebaki ofisini kwa sababu hawajalipwa mshahara na pesa hazijawekwa NSSF.

KM wao ni Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha TUCTA hawezi ku-feel the pinch kwa sababu kila mwezi anakula mshahara wake TUCTA huku wafanyakazi wake wanateseka.

Ofisi inaendesha miradi yake ila haiwalipi wafanyakazi sio sawa.

Naomba upaze sauti kusaidia wanyonge hawa wasiokuwa na pa kuzungumzia.
Wao wanajinasibu kwamba moja ya majukumu yao ya msingi ni kupigania na kutetea maslahi bora kwa wafanyakazi wa majumbani, mashambani, mahotelini na majumbani. Halafu wao hawawezi kujitetea? Kama wewe ni mmoja wao basi mnatakiwa siku ya Mei mosi mpelekwe wote uwanja wa uhuru mpigwe risasi kwa kutapeli. Haiwezekani kila mwezi mnakusanya hela za wafanyakazi hamuasaidii na hamuezi kujisaidia pia.
 
Kama chama ambacho kinapaswa kuwa mtetezi wa wafanyakazi hichohicho kinawadhulumu wafanyakazi hili ni tatizo

Wapeleke malalamiko yao Tucta waweze kusaidiwa ingawa km wao naye yupo huko lkn siyo shida wapeleke tu

Shida hii ipo Tughe pia makatibu wao wa mikoa waliostaafu hawajawalipa fedha zao zitokanazo na mkataba wa hali bora miaka zaidi ya mitano sasa wanawazungusha tu
 
Wao wanajinasibu kwamba moja ya majukumu yao ya msingi ni kupigania na kutetea maslahi bora kwa wafanyakazi wa majumbani, mashambani, mahotelini na majumbani. Alafu wao hawawezi kujitetea? Kama wewe ni mmoja wao basi mnatakiwa siku ya Mei mosi mpelekwe wote uwanja wa uhuru mpigwe risasi kwa kutapeli. Haiwezekani kila mwezi mnakusanya hela za wafanyakazi hamuasaidii na hamuezi kujisaidia pia.
Kwan TUCTA wanafanya nini?
 
Habari,

Wafanyakazi wa Chama cha Wafanyakazi wa Majumbani, hifadhi, hotelini, huduma za jamii na ushauri (CHODAWU) hawajalipwa mshahara tangu October 2021.

Wafanyakazi wana wakati mgumu sana wa maisha. Watu wamefika umri wa kustaafu ila wamebaki ofisini kwa sababu hawajalipwa mshahara na pesa hazijawekwa NSSF.

KM wao ni Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha TUCTA hawezi ku-feel the pinch kwa sababu kila mwezi anakula mshahara wake TUCTA huku wafanyakazi wake wanateseka.

Ofisi inaendesha miradi yake ila haiwalipi wafanyakazi sio sawa.

Naomba upaze sauti kusaidia wanyonge hawa wasiokuwa na pa kuzungumzia.
ANIMAL FARM, Baada ya kujikomboa kutoka mikononi mwa biaadamu wakatili na wakanikiwa kujimilikisha shamba kisha kuwa na viongozi wenye nia thabiti kuwatumikia wenzao, mambo yakawa kheri ya binaadamu mkatili.
 
Back
Top Bottom