NDAGLA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 2,490
- 1,353
Kwema wadau,
Natoa tahadhari kwa wote wanaowasiliana na PSSSF kupitia DM page yao rasmi ya instagram (Psssftz) na wale wanaopiga namba zao za bure 0800110040 na 0800110055 kuhitaji msaada wowote.
Kwa kifupi watumishi wa kitengo hicho cha huduma kwa wateja ukishawasiliana nao watakuomba namba yako ya uanachama then watakupigia wao kwa namba zao binafsi (siyo za ofisi) na ndipo watakupa taarifa za kupotosha na wanatumia njia hii kutapeli watu fedha.
Wakifanikiwa kutapeli,hutojibiwa email,DM instagram tofauti na awali na ukipiga hizo simu za ofisi hutopata ushirikiano zaidi watakata na kukupigia kwa namba zao binafsi na kujibu kejeli.
(Ni kama watu wengi wanashirikishana huu utapeli)
Mbaya zaidi huu utapeli unasemwa ni agizo kutoka kwa Rais kwamba wastaafu walipie hizo control number.
Inawezekanaje taasis kama PSSSF isiweze kuwa na taarifa za nani alimhudumia mteja siku na saa fulani kupitia page yao ya instagram?
Hata records za siku tatu nyuma!
You're warned.
Natoa tahadhari kwa wote wanaowasiliana na PSSSF kupitia DM page yao rasmi ya instagram (Psssftz) na wale wanaopiga namba zao za bure 0800110040 na 0800110055 kuhitaji msaada wowote.
Kwa kifupi watumishi wa kitengo hicho cha huduma kwa wateja ukishawasiliana nao watakuomba namba yako ya uanachama then watakupigia wao kwa namba zao binafsi (siyo za ofisi) na ndipo watakupa taarifa za kupotosha na wanatumia njia hii kutapeli watu fedha.
Wakifanikiwa kutapeli,hutojibiwa email,DM instagram tofauti na awali na ukipiga hizo simu za ofisi hutopata ushirikiano zaidi watakata na kukupigia kwa namba zao binafsi na kujibu kejeli.
(Ni kama watu wengi wanashirikishana huu utapeli)
Mbaya zaidi huu utapeli unasemwa ni agizo kutoka kwa Rais kwamba wastaafu walipie hizo control number.
Inawezekanaje taasis kama PSSSF isiweze kuwa na taarifa za nani alimhudumia mteja siku na saa fulani kupitia page yao ya instagram?
Hata records za siku tatu nyuma!
You're warned.