Wafanyakazi Tanzania karibuni tubeti

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Nawakaribisha wafanyakazi wote wa Tanzania kwenye Chama chetu cha kubet

Kwa macho na Masikio yako umesikia mwenyewe kutoka kwa JPM ,hakuna nyongeza mpaka miradi ya umeme na reli na mabarabara yatapokamilika hapo itakuwa 2050

Hivyo nakukaribisha kwenye kijiwe chetu cha kubeti,unaweza ukapata na hela ya nauli kwenye daladala au ya upangaji

Kampuni za kubeti ni nyingi sana ndani na nje ya nchi,


Karibuni wafanyakazi,ila poleni kwa yaliyowakuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…