Mimi nashauri TRA isimamiwe na taasisi huru ili kukagua maeneo ya kodi ambazo hazijalipwa. Hapa mjini kuna maduka ya hardware hayaguswi hata kidogo kwa kuwa wenye mali wanautaratibu na maofisa waandamizi wa TRA. Kuna ofisa mmoja pale USA RIVER ( wa TRA yeye anazungukia makampuni ya kitalii na kuwatengenezea hesabu ili mambo yao yawe mazuri) huyu nahisi anatakiwa kushughulikiwa na vijana wa uamsho.
Nina hasira sana jasho langu linarambwa muno!
Nina hasira sana jasho langu linarambwa muno!