Mkuu wangu,
unadhani yuko peke yake ? Huo ni mtandao wa wachakachuji wanaojali matumbo yao na ya marafiki zao tu. Wezi wakubwa, wasio na huruma.
Narudia kusema hao ni wajumbe wa ibilisi yule shetani mtembea kwa miguu. Wanaibia nchi kwa kudhamiria siku zote ili watajirike, duh !!
Iwepo sheria ya wananchi wenye hasira kali waliojua maovu yao wawatwange na kuharibu historia yao mbaya, na wasihukumiwe kwa maana wanadai haki yao ya msingi toka kwa wezi wachache.