No! but it makes a lot of diffence if you just send it ... as many times as possible!!!
Ni manyangumi but ni watu tu!! hata unyangumi una yielding point ...itafikiwa tu ...hakuna kuchoka ni kuwa pressurise in many ways as possible..!!
Asante kwa Email, lakini hata hapa ujumbe wataupata tu kwani JF wengi wanaisoma Mafisadi mpaka Walala Hoi, si ajabu kuna jamaa zao au wao wenyewe ni Member wa JF..Malalamiko kama haya yangepelekwa moja kwa moja kwa uongozi wa CRDB Makao Makuu ingesaidia sana kuliko hapa JF....Magonjwa mengine tunayafuga sisi wenyewe wateja !!!
Tafadhali peleka malalamiko yako kwenye email iliyopo hapo chinini na yatafanyiwa kazi mara moja !
customer-hotline@crdb.com
....Ok. nasubiri za AccessBank Kijitonyama!!
BabaDesi,
Za mabosi wao hazipatikani ila wana general email: info@accessbank.co.tz. Au waweza ingia kwenye website yao kuna fomu ya kujaza hapohapo ukawasiliana nao. Website yao hii hapa. http://www.falconrealestate.org/accessbank/head_office.php
Hivi kuna wafanya kazi wa crdb wenye midomo michafu na jeuri kama wa crdb tawi la vijana lumumba hapa d'salaam????basi kimei tembelea ujione au tuma watu inafurahisha watu wanawekwa cc halafu hajui hata kujibu salam ya mteja kuna dada wa kichaga sijui mpare mweupe mrefu maziwa makubwa ni mjinga kupita wajinga hata kujibu salamu yako hataki kukuangalia pia hataki sasa utatoaje huduma halafu mnasema eti the bank that liste? Upumbavu wa kupeana kazi kinyumbani nyumbani