Wafanyakazi wa JKIA wagoma tena, wasafiri wakwama airport.

Wafanyakazi wa JKIA wagoma tena, wasafiri wakwama airport.

Archnemesis 2-0

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2024
Posts
815
Reaction score
1,558
images (47).jpeg
images (46).jpeg


Kwema Wadau,

Kama mnakumbuka mwezi wa 8 hapa katikati wafanyakazi wa Jomo Kenyatta International Airport walifanya mgomo.. kwa kweli niliona ile ishu juu juu skufatilia zaidi.

Sasa hapa nasikiliza D.W lunch time nasikia shughuli zote za usafiri JKIA zimesimamishwa na wafanyakazi wamegoma mgomo wa amani wakitaka majibu kutoka kwa uongozi.

Wanataka waelekezwe mkataba mpya wa muwekezaji wa India kampuni ADANI iliyopewa miaka 30 ya kuendesha shughuli za airport. Wafanyakazi wa airport za Mombasa na Eldoret wamegoma pia..

Ila hawa jamaa wana misimamo!

Attached is the Voice Record.. sehemu ya taarifa.
 

Attachments

Nahisi jama hua wanatucheka sana, anyway Jah yu pamoja nasi all is well
 
Haiwezekani...!!!

Dizaini ya Mtanzania haipo Mbinguni Wala Akhera.
Inapatikana Tanzania tu...!
Watanzania wengi ni Mazuzu atiii.
Na kwann isiwezakane sasa gen Z wa kule wameleta mtiti nchi nzima hawamtaki Ruto imezizima sisi gen Z wetu sijui aisee
 
Labda ishu role models, gen Z wetu hawana role models wa maana na huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom