Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,389
- 2,025
Wafanyakazi wa ngono nchini Ubelgiji sasa wanapata ulinzi sawa na wafanyakazi wa sekta nyingine kupitia sheria mpya ya kihistoria iliyopitishwa mwezi Mei mwaka huu na kuanza kutekelezwa siku ya Jumapili.
Sheria hiyo inatoa haki za ajira rasmi, ikiwemo likizo ya uzazi, bima ya afya, posho za ukosefu wa ajira, na malipo ya ugonjwa.
Sheria hiyo inatoa haki za ajira rasmi, ikiwemo likizo ya uzazi, bima ya afya, posho za ukosefu wa ajira, na malipo ya ugonjwa.