KERO Wafanyakazi wa PSSSF Musoma wanafanya kazi wanavyojisikia, waongo na hawatimizi wajibu wao

KERO Wafanyakazi wa PSSSF Musoma wanafanya kazi wanavyojisikia, waongo na hawatimizi wajibu wao

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
Jun 4, 2024
Posts
13
Reaction score
21
Wafanyakazi WA PSSSF Musoma hawatimizi wajibu wao haswa kwa wastafuu, mama mzazi amekosa pension yake kwa kutokuja kuhakikiwa wanapigiwa simu mwezi mzima wanasema wanakuja ila hawaji, ukiendelea kuwapigia hawapokei then wanaku-block

Kuna mfanyakazi anaitwa Gabriel muongo anadanganya wateja watu umri umeenda ni wastaafu lakini bado hatimizi majukumu yake

Tunaomba mamlaka husika nichukue hatua.
 
Haya ni maujinga ya PSSSF zote Tz, wapumbavu sana wale watu. Wanaleta urasimu ili usichukua mafao. Washukuru sheria za JF Ningewashushia matusi ya nguoni
 
Wafanyakazi WA PSSSF Musoma hawatimizi wajibu wao haswa kwa wastafuu ,mama mzazi amekosa pension yake Kwa kutokuja kuhakikiwa wanapigiwa simu mwezi mzima wanasema wanakula hawaji,ukiendelea kuwapigia hawapokei then Wana Ku block kuna mfanyakazi anaitwa Gabriel muongo anadanganya wateja watu umri umeenda ni wastafuu lakini bado hatimizi majuku yake Tunaomba mamlaka husika nichukue hatua
Huwa wanataka chochochote wasogeze file lako na process zifanyike fasta bila hivo hawakupi huduma stahiki kwa taarifa yako km ulikuwa hujui hujuma zao
 
Mkono mfupi haulambwi...Toa kitu chochote upate huduma fasta. Ofisi za PSSSF bila kutoa Rushwa huduma ni ngumu kupewa kwa wakati
 
BRELA, NSSF, NIDA, DAWASA kibaha, TANESCO kibaha, TPA, NIC, MWENDOKASI NA KIONGOZI WAO Manispaa YA UBUNGO. Hawa sijui kwanini wanakwenda kazini, Ni vema wangelipwa mishahara halafu wakakaa nyumbani.
 
Wafanyakazi WA PSSSF Musoma hawatimizi wajibu wao haswa kwa wastafuu ,mama mzazi amekosa pension yake Kwa kutokuja kuhakikiwa wanapigiwa simu mwezi mzima wanasema wanakula hawaji,ukiendelea kuwapigia hawapokei then Wana Ku block kuna mfanyakazi anaitwa Gabriel muongo anadanganya wateja watu umri umeenda ni wastafuu lakini bado hatimizi majuku yake Tunaomba mamlaka husika nichukue hatua
Pambaf..
Unapotea malalamiko serious humu jf tumia id fake..
Utarud tena hapa ofisini na ni.eshakuona kwenye mfumo
 
Hili ni tatizo mpaka makao makuu, Mkurugenzi Mkuu anatakiwa awaite awape ukweli, anayeshindwa kwenda na kasi ahamishiwe huko Tamisemi au Wizara nyingine.
 
Pambaf..
Unapotea malalamiko serious humu jf tumia id fake..
Utarud tena hapa ofisini na ni.eshakuona kwenye mfumo
Pumbaf. Kwani hiyo ofisi Ni kampuni ya babako? Wewe si ni kibaka tu hata qualification huna! Interview hujafanya mbwa wewe unaona kunyanyasa watu pasipo na sababu Ni ujanja.
Shitman.....
Akirudi hapo ananipa mrejesho ndio utajua nchi hii Kuna waliokuzidi vyeo, pesa, akili hata umri.
 
Pole sana!
Mama yako amekwama katika hatua ipi mkuu
Ni mgonjwa anatakiwa kwenda kuhakikiwa nyumbani tumepigwa simu tumewambia hata nauli waje tutawalipia wanasema wanakuja hawaji Hadi pay rool ya mwezi wa Sita imepita hakupata pension tulitakiwa tumpeleke hospital tumekwama.wanapigiwa simu toka tarehe moja wanasema kila siku wanakuja hawaji tunahofia atakosa pia pension mwezi huu kumtoa Bunda kwenda Musoma Kwa Hali yake sio chini ya 300k
 
Ni mgonjwa anatakiwa kwenda kuhakikiwa nyumbani tumepigwa simu tumewambia hata nauli waje tutawalipia wanasema wanakuja hawaji Hadi pay rool ya mwezi wa Sita imepita hakupata pension tulitakiwa tumpeleke hospital tumekwama.wanapigiwa simu toka tarehe moja wanasema kila siku wanakuja hawaji tunahofia atakosa pia pension mwezi huu kumtoa Bunda kwenda Musoma Kwa Hali yake sio chini ya 300k
Aisee pole sana mkuu
 
Pumbaf. Kwani hiyo ofisi Ni kampuni ya babako? Wewe si ni kibaka tu hata qualification huna! Interview hujafanya mbwa wewe unaona kunyanyasa watu pasipo na sababu Ni ujanja.
Shitman.....
Akirudi hapo ananipa mrejesho ndio utajua nchi hii Kuna waliokuzidi vyeo, pesa, akili hata umri.
Pqmbaf..
una akilli hio SARCASM
kwamba asiwe anatoa serious allegation kwasababu utambulisho wake halisi .
 
Back
Top Bottom