Wafanyakazi wa TANESCO wagoma kutoa asante kwa Maharage kwa Utumishi ukiotukuka

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Baadhi ya wafanyakazi wa TANESCO wamepinga graphics zinazosambaa za kumpongeza Maharage na mwenyekiti wa Bodi. Wanahoji hizo pongezi wamezitoa wakiwa wapi?

Imedaiwa ni kikundi cha watu kimeshinikiza watu wakae na kutoka ASANTE na Shukurani.

Hizo Pongezi za Mkurugenzi mpya tumezitoa wapi hata hatujawahi kumuona wala kushirikishwa? Tunaona mitandaoni.

Kwanini wafanyakazi wa Tanzania tunajipendekeza hata kwa mambo ya kisiasa. Tunalazimishwa na wakubwa ili tuonekane. Tunavishwa ngozi ya Kondoo.

Tunalishwa maneno na kulazimishwa.

Maharage anapewa asante ya nini? Kafanya nini?
 
Kwahiyo walikuwa wanskaya umeme makusudi maans hawajashirikishwa?
Hii Tanesco ni ya kufumua mpaka wafanyakazi wanaolicost taifa kwa vimigomo na majungu
 
Sina umeme kwangu toka asubuhi. Ndani hakukaliki….Nchi tunarudi nyuma tena
 
Maharage Chande hana mafanikio kila taasisi anayo ongoza lazima iende mrama, huyu ndiye aliyeifilisi NBC hadi ikataka kufa
 
Nchi inayoendeshwa kwa utamaduni wa kichawa chawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…