DOKEZO Wafanyakazi wa TAZARA Mlimba na Chita wanajiona miungu watu

DOKEZO Wafanyakazi wa TAZARA Mlimba na Chita wanajiona miungu watu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

mwili wa pesa

New Member
Joined
Jul 31, 2021
Posts
4
Reaction score
4
Wafanyakazi hawa wa TAZARA hawajali kabisa wateja, wanawatukana na kuwafukuza kama watoto.

Jana nimeenda TAZARA kwa ajili ya 'booking' ya mzigo, nimefika pale ofisi za mzigo TAZARA Mlimba-Morogoro hakukuwa na mtu. Nikaanza kuita "Mwenyewe...mwenyewe" zaidi ya mara mbili, ikaitika sauti unataka "Nini", nikaakaaa kimya.

Huduma kwa wateja sifuri, nikasema jitokeze nieleze basi, akanijibu "Emu toka hapo wewe". Dah hiii imeuma sana hadi namkumbuka mwenda zake.
 
Wafanyakazi hawa wa TAZARA hawajali kabisa wateja wanawatukana na kuwafukuza kama watoto .....

Jana nimeenda TAZARA kwa ajili ya booking ya mzigo nimefika pale ofisi za mzigo TAZARA Mlimba Morogoro hakukuwa na mtu nikaanza kuita mwenyewe mwenyewe zaidi ya mara mbili ikaitika sauti unataka nn nikaakaaa kimya.

Customer care zerooo nikausema jitokeze niileze basi akanijibu emu toka hapo wewe dah hiiii imeuma sana hadi namkumbuka mwenda zakeeee
Kama hukukuta mtu, umefukizwa na kutukanwa na nani?
 
Sio hapo tu customer care kwa Tanzania ni Zero , nchi kama Rwanda wao walianzisha kabisa mafunzo ya cutomercare kwenye hospitality, na wako vizuri bongo mazoea mengi na kutojali ni tatizo linalotutafuna sana
 
Wafanyakazi hawa wa TAZARA hawajali kabisa wateja wanawatukana na kuwafukuza kama watoto .....

Jana nimeenda TAZARA kwa ajili ya booking ya mzigo nimefika pale ofisi za mzigo TAZARA Mlimba Morogoro hakukuwa na mtu nikaanza kuita mwenyewe mwenyewe zaidi ya mara mbili ikaitika sauti unataka nn nikaakaaa kimya.

Customer care zerooo nikausema jitokeze niileze basi akanijibu emu toka hapo wewe dah hiiii imeuma sana hadi namkumbuka mwenda zakeeee
Mfuate
 
Back
Top Bottom