mwili wa pesa
New Member
- Jul 31, 2021
- 4
- 4
Wewe kweli kenge dah nimecheka kama mjinga asubuhi yote hii!Pale Makambako niliuliza Mbona Treni imechelewa
Nikaambiwa imepata pancha..
Sasa ukenge wake n Nini hapo[emoji23][emoji23]. Bange mbayaWewe kweli kenge dah nimecheka kama mjinga asubuhi yote hii!
Wanaume tukifurahi that's how we respond...... Hahaha usiwe negative sana! Wapo wanaoitana matusi kabisa ila ni furaha tu nothing serious.Sasa ukenge wake n Nini hapo[emoji23][emoji23]. Bange mbaya
Kama hukukuta mtu, umefukizwa na kutukanwa na nani?Wafanyakazi hawa wa TAZARA hawajali kabisa wateja wanawatukana na kuwafukuza kama watoto .....
Jana nimeenda TAZARA kwa ajili ya booking ya mzigo nimefika pale ofisi za mzigo TAZARA Mlimba Morogoro hakukuwa na mtu nikaanza kuita mwenyewe mwenyewe zaidi ya mara mbili ikaitika sauti unataka nn nikaakaaa kimya.
Customer care zerooo nikausema jitokeze niileze basi akanijibu emu toka hapo wewe dah hiiii imeuma sana hadi namkumbuka mwenda zakeeee
Hayo mambo yana wenyewe Sio kila mtuNgubu huna na mkwara huna,ungemwambia pumbavu wewe unajua unaongea na nani ?ungeona anakuja mbio kuomba msamaha
Sawa inategemea na muonekano na sauti ya mamlaka,mi nikikupiga mwara lazima upige magoti kuniomba msamaha,muonekano wangu umetisha wengi sanaHayo mambo yana wenyewe Sio kila mtu
Ukijichanga utakuta unamtishia asiyetishika.
Anhaaa nakubali muonekano unaweza kunitoa out maana kuna watu akisema huangalii mara mbili.Sawa inategemea na muonekano na sauti ya mamlaka,mi nikikupiga mwara lazima upige magoti kuniomba msamaha,muonekano wangu umetisha wengi sana
πππππPale Makambako niliuliza Mbona Treni imechelewa
Nikaambiwa imepata pancha..
MfuateWafanyakazi hawa wa TAZARA hawajali kabisa wateja wanawatukana na kuwafukuza kama watoto .....
Jana nimeenda TAZARA kwa ajili ya booking ya mzigo nimefika pale ofisi za mzigo TAZARA Mlimba Morogoro hakukuwa na mtu nikaanza kuita mwenyewe mwenyewe zaidi ya mara mbili ikaitika sauti unataka nn nikaakaaa kimya.
Customer care zerooo nikausema jitokeze niileze basi akanijibu emu toka hapo wewe dah hiiii imeuma sana hadi namkumbuka mwenda zakeeee
Unafata vipi mtu kajifungia vyumbani hukoMfuate