Hatari tupuWafanyakazi wa TRA ofisi za Sido & Mwanjelwa mnakera sana wateja wenu.
Watu tumeacha shughuli zetu ili tuje tulipe hizo kodi mnazozihitaji lakini huduma zenu zimekuwa mbovu sana.
Wahudumu wachache na pia hao watoto mliyowaleta kwaajili ya Field embu jaribuni kuwaelimisha namna ya kuwahudumia wateja.
Watu tupo hapa tangu asubuhi wahudumu kazi yao kuzunguka tu hili jengo bila kuhudimia wateja.
Ikiwezekana meneja fukuza hao wafanyakazi wako tafuta wengine
Mnaboa sana, tusipolipa Kodi mnatusumbua, tumekuja kulipa bado tunakumbana na usumbufu mkubwa!
Customer care bado ni tatizo kwa taasis za serikali. Zipo zinazofanya vizuri ila chache. Zilizobaki ni za kuangaliwa upyaWafanyakazi wa TRA ofisi za Sido & Mwanjelwa mnakera sana wateja wenu.
Watu tumeacha shughuli zetu ili tuje tulipe hizo kodi mnazozihitaji lakini huduma zenu zimekuwa mbovu sana.
Wahudumu wachache na pia hao watoto mliyowaleta kwaajili ya Field embu jaribuni kuwaelimisha namna ya kuwahudumia wateja.
Watu tupo hapa tangu asubuhi wahudumu kazi yao kuzunguka tu hili jengo bila kuhudimia wateja.
Ikiwezekana meneja fukuza hao wafanyakazi wako tafuta wengine
Mnaboa sana, tusipolipa Kodi mnatusumbua, tumekuja kulipa bado tunakumbana na usumbufu mkubwa!
Wafanyakazi wa TRA ofisi za Sido & Mwanjelwa mnakera sana wateja wenu.
Watu tumeacha shughuli zetu ili tuje tulipe hizo kodi mnazozihitaji lakini huduma zenu zimekuwa mbovu sana.
Wahudumu wachache na pia hao watoto mliyowaleta kwaajili ya Field embu jaribuni kuwaelimisha namna ya kuwahudumia wateja.
Watu tupo hapa tangu asubuhi wahudumu kazi yao kuzunguka tu hili jengo bila kuhudimia wateja.
Ikiwezekana meneja fukuza hao wafanyakazi wako tafuta wengine
Mnaboa sana, tusipolipa Kodi mnatusumbua, tumekuja kulipa bado tunakumbana na usumbufu mkubwa!
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tumepokea na kuchukulia suala hili kwa namna ya kipekee na kuahidi kulifanyia kazi mara moja. Aidha tunawakumbusha wadau wetu na walipakodi kuwa endapo watakutana na changamoto yoyote wasisite kuwaona Mameneja wetu wa Mikoa au kuwasiliana kwa namba zetu za bure 0800780078/0800750075. TRA tunawajibika kutoa huduma zilizo bora na kwa weledi.Wafanyakazi wa TRA ofisi za Sido & Mwanjelwa mnakera sana wateja wenu.
Watu tumeacha shughuli zetu ili tuje tulipe hizo kodi mnazozihitaji lakini huduma zenu zimekuwa mbovu sana.
Wahudumu wachache na pia hao watoto mliyowaleta kwaajili ya Field embu jaribuni kuwaelimisha namna ya kuwahudumia wateja.
Watu tupo hapa tangu asubuhi wahudumu kazi yao kuzunguka tu hili jengo bila kuhudimia wateja.
Ikiwezekana meneja fukuza hao wafanyakazi wako tafuta wengine
Mnaboa sana, tusipolipa Kodi mnatusumbua, tumekuja kulipa bado tunakumbana na usumbufu mkubwa!
GoodMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tumepokea na kuchukulia suala hili kwa namna ya kipekee na kuahidi kulifanyia kazi mara moja. Aidha tunawakumbusha wadau wetu na walipakodi kuwa endapo watakutana na changamoto yoyote wasisite kuwaona Mameneja wetu wa Mikoa au kuwasiliana kwa namba zetu za bure 0800780078/0800750075. TRA tunawajibika kutoa huduma zilizo bora na kwa weledi.