Wafanyakazi wa Umma waongezewa mshahara mkia wa mbuzi

JF hakuna anayepokea kima cha chini, maana wote wanalalamika.
 
Anaupiga mwingi!!!!.
Hii ndiyo ilikuwa kauli yenu, leo mnamlilia japo kwa aina nyingine ya kulia pasi kutoa machozi.

Tulieni hivyo hivyo ndo safari yenyewe na kila mtu na usafari wake.
 
Hapo ukiweka na tozo mpya zilizowekwa kwenye miamala za benki utajikuta hakuna nyongeza yote yote Ile.
 
Aibu nilopata ni kubwa sana. Ahadi niliyopewa ilivunjwa hata bila kosa.
Ulinipa ahadi utaniongezea 23% nikitumaini nimepata
Nilichopata ni matusi ooh ooh na dharau tele

Ungenieleza ukweli sir 100
Kuliko kunidanganya ooh ooh
Najuta kukopa kwa mangi
 
 
Kama watoto wadogo unawapa jolly jolly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…